Aisee Serikali isipokuwa makini Mange Kimambi na Kigogo watakuwa ndio Shi hata CN N,Tbc,BBC,Mwananchiau yetu...jamaa wamamwaga Taarifa za Korona utafikiri za kweli!
Mfano juzi usiku walileta mazishi ya chapchap usikuisiku ,na watu wanazuiwa kupiga picha😀😀😀...ila nikafkir hio sip Tanzania watu wanawaogopa Kakorona'' Hadi kaburi la aliyekufa na Korona halipgwi pcha!
Kilichonishtua tu ni Lugha ya Kiswahili kichotmika kuimba na kuongea ..kilikuwa n cha Cha Tanzania
Serikali iweke Mambo sawa la sivyo Kimambe na na Kigogo watakumbukwa na wajukuu!
Mfano juzi usiku walileta mazishi ya chapchap usikuisiku ,na watu wanazuiwa kupiga picha😀😀😀...ila nikafkir hio sip Tanzania watu wanawaogopa Kakorona'' Hadi kaburi la aliyekufa na Korona halipgwi pcha!
Kilichonishtua tu ni Lugha ya Kiswahili kichotmika kuimba na kuongea ..kilikuwa n cha Cha Tanzania
Serikali iweke Mambo sawa la sivyo Kimambe na na Kigogo watakumbukwa na wajukuu!