LGE2024 Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu ashiriki kupiga Kura katika Mji Mdogo Tukuyu

LGE2024 Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu ashiriki kupiga Kura katika Mji Mdogo Tukuyu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu amepiga kura leo Novemba 27, 2024 katika Kituo cha Shule ya Msingi Madaraka ikiwa ni haki yake Kikatiba Kumchagua Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka ya Mji Mdogo Tukuyu.

Jumla ya Wakazi 147,118 wanatarajia kupiga kura katika Vituo 529 ndani ya Vijiji 99 Kata 29 zilizopo Rungwe.
WhatsApp Image 2024-11-27 at 14.14.48_75d23a50.jpg

Snapinsta.app_468561431_1106329187510780_2242256462399497241_n_1080.jpg

Snapinsta.app_468672087_1222855835449719_4740165934071555646_n_1080.jpg
 
Haa CCM Hao
Wanaigiza Na Matokeo Wanayo
 
Back
Top Bottom