Mkuu wa Wilaya ya Sengerema ataka kupigana na Katibu wa Mbunge mkutanoni

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
DC Emanuel Kipole ametishia kumsweka ndani Katibu wa mbunge baada ya Katibu huyo kuzungumzia migogoro ya ardhi kwenye mkutano wa hadhara.

Baada ya tishio hilo la DC ndipo Katibu wa mbunge alisimama na kuchachamaa na kumwambia DC kama yeye ni kidume basi amkamate muda ule.

Ndipo mwenyekiti wa CCM wilaya akaingilia kati na kuwasuluhishs

Source ITV habari
 
Mitano tena
 
CCM kitasambaratika taratibu Kama tambara bovu.
 
Huyo DC ni mbabe sana.
Mbele ya dogo aliufyata .
Kuufyata Ni lile tendo la mbwa Koko kuweka mkia katikati ya miguu ya nyuma na kuanza kukimbia.
Ukijua matawi wenzio wanajua mizizi . alifikiri hiki Ni kile kipindi Cha mwendazake Cha kuweka watu ndani bila sababu.
Kama DSO wa hapo Yuko makini Basi dogo na ukuu wa wilaya atausikia kwenye redio
 
Acha tu yafarakane yenyewe kwa yenyewe
 
Mkuu hiyo inaitwa "KIMEUMANA" huku povu la sumu likipitia midomon!

Viongozi wengine ni aibu Sana, walishazoeshwa dola Yan Kidogo tu ndan! Bora kimeumana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…