johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Duh!Katibu ulipo kunywa sodaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!Katibu ulipo kunywa sodaaaa
Kwanini hakupenda migogoro ya ardhi ijadiliwe au kuna dili kapiga huko?DC Emanuel Kipole ametishia kumsweka ndani Katibu wa mbunge baada ya Katibu huyo kuzungumzia migogoro ya ardhi kwenye mkutano wa hadhara.
Baada ya tishio hilo la DC ndipo Katibu wa mbunge alisimama na kuchachamaa na kumwambia DC kama yeye ni kidume basi amkamate muda ule.
Ndipo mwenyekiti wa CCM wilaya akaingilia kati na kuwasuluhishs
Source ITV habari
Yaani upige video ya Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya....wee labda utakuwa hujipendi.......... hahahahaaaaBila video hii ni chai tu kama chai zingine
Tena wavunjane meno kabsa, maana walisema wapinzani wamewachelewesha.Waache wavunjane