Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Mkuu wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi, Onesmo Buswelu amewataka viongozi wa Serikali za vijiji na vitongoji kutojihusisha na uuzaji wa ardhi katika maeneo yao.
Hayo yamejiri katika kikao cha halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi (CCM) katika wilaya hiyo ambapo mbunge wa jimbo la Mpanda vijijini amewaomba viongozi hao kwenda kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji kwani migogoro mingi inasababishwa na viongozi wa serikali za vijiji na vitongoji.
Ilani ya chama cha mapinduzi (CCM) ya 2020-2025 katika halimashauri ya wilaya ya Tanganyika imetekelezwa kwa kiwango cha juu.
Mkuu wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi, Onesmo Buswelu amewataka viongozi wa Serikali za vijiji na vitongoji kutojihusisha na uuzaji wa ardhi katika maeneo yao.
Hayo yamejiri katika kikao cha halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi (CCM) katika wilaya hiyo ambapo mbunge wa jimbo la Mpanda vijijini amewaomba viongozi hao kwenda kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji kwani migogoro mingi inasababishwa na viongozi wa serikali za vijiji na vitongoji.
Ilani ya chama cha mapinduzi (CCM) ya 2020-2025 katika halimashauri ya wilaya ya Tanganyika imetekelezwa kwa kiwango cha juu.