Mkuu wa wilaya ya Ubungo ajitafakari uwezo wake ni mdogo sana

Mkuu wa wilaya ya Ubungo ajitafakari uwezo wake ni mdogo sana

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Sijui hata jina lake ila ndani ya siku chache ametoa pasi mkaa au boko za kutilia shaka uwezo wake.
Alianza na kamata kamata ya machangudoa pale riverside, kesi iko mahakamani, anaitia Serikali hasara maana kesi za ukahaba ni kama za uchawi, hazina ushahidi wa moja kwa moja,mwisho wa siku wataachiwa tu.

Akaja kumtia korokoroni mwandishi wa The Guardia aliyepiga picha wanafunzi wanaosomea chini ya mwembe.

Hatujakaa sawa akaishia kuzomewa na machinga wa simu 2000 kwa kutilia shaka uwezo wake.

Huyu atumbuliwe tu hafai
 
Sijui hata jina lake ila ndani ya siku chache ametoa pasi mkaa au boko za kutilia shaka uwezo wake.
Alianza na kamata kamata ya machangudoa pale riverside,kesi iko mahakamani ,anaitia serikali hasara maana kesi za ukahaba ni kama za uchawi ,hazina ushahidi wa moja kwa moja,mwisho wa siku wataachiwa tu.

Akaja kumtia korokoroni mwandishi wa The Guardia aliyepiga picha wanafunzi wanaosomea chini ya mwembe.

Hatujakaa sawa akaishia kuzomewa na machinga wa simu 2000 kwa kutilia shaka uwezo wake.

Huyu atumbuliwe tu hafai
Kuna Mkuu wa wilaya mwenye uwezo mkubwa?
 
Bomboko alitokea Ukerewe moja kwa moja mpaka Ubungo, thats an overdose, injini ya starlet unafunga katika scania semi trela, angetoka ukerewe akaja ilemela, akatoka akasogea Arusha au Mbeya, au Kibaha.....yaani iwepo programu ya kuwakuza kiutawala na kiuzoefu katika kupambana na mambo. Jiji la Dar linatakiwa liwe for the most experienced D.C, amechujwa kwa kila namna.

Sasa mtu katoka kupambana na wala sangara, hawana hekaheka zozote zile, unamkabidhi kamati ya ulinzi na usalama ambayo hailali, simu muda wote. Ukerewe saa mbili usiku kila mtu yuko ndani. Haina shughuli nyingi za kiuchumi, machangu wa huko ni wa kistaarabu, sio wa kujipanga barabarani.

Yaani Bomboko mtamfanya awe anapiga boko nyingi.....ubungo ni dozi nene kwake.
 
Ningekuwa mamlaka huyu mkuu wa wilaya angerudi uvccm kuhamasisha hamasa nadhani ni kazi ambayo aliifanya vyema sana mpaka mamlaka zikamuona anafaaa ukuu wa wilaya.

Katiba mpya ifute hivi vyeo tubane matumizi wilaya na mkoa mkurgenzi mmoja mwenye cpa anafaa sana .
 
Bomboko alitokea Ukerewe moja kwa moja mpaka Ubungo, thats an overdose, injini ya starlet unafunga katika scania semi trela, angetoka ukerewe akaja ilemela, akatoka akasogea Arusha au Mbeya, au Kibaha.....yaani iwepo programu ya kuwakuza kiutawala na kiuzoefu katika kupambana na mambo. Jiji la Dar linatakiwa liwe for the most experienced D.C, amechujwa kwa kila namna.

Sasa mtu katoka kupambana na wala sangara, hawana hekaheka zozote zile, unamkabidhi kamati ya ulinzi na usalama ambayo hailali, simu muda wote. Ukerewe saa mbili usiku kila mtu yuko ndani. Haina shughuli nyingi za kiuchumi, machangu wa huko ni wa kistaarabu, sio wa kujipanga barabarani.

Yaani Bomboko mtamfanya awe anapiga boko nyingi.....ubungo ni dozi nene kwake.
😂
 
Sijui hata jina lake ila ndani ya siku chache ametoa pasi mkaa au boko za kutilia shaka uwezo wake.
Alianza na kamata kamata ya machangudoa pale riverside,kesi iko mahakamani ,anaitia serikali hasara maana kesi za ukahaba ni kama za uchawi ,hazina ushahidi wa moja kwa moja,mwisho wa siku wataachiwa tu.

Akaja kumtia korokoroni mwandishi wa The Guardia aliyepiga picha wanafunzi wanaosomea chini ya mwembe.

Hatujakaa sawa akaishia kuzomewa na machinga wa simu 2000 kwa kutilia shaka uwezo wake.

Huyu atumbuliwe tu hafai
Ali disco LLB Mzumbe Morogoro campus mwaka 2012 sijui nn kilitokea kwenye ma CCM huko nikamwona anaendelea na chuo.
 
Sijui hata jina lake ila ndani ya siku chache ametoa pasi mkaa au boko za kutilia shaka uwezo wake.
Alianza na kamata kamata ya machangudoa pale riverside,kesi iko mahakamani ,anaitia serikali hasara maana kesi za ukahaba ni kama za uchawi ,hazina ushahidi wa moja kwa moja,mwisho wa siku wataachiwa tu.

Akaja kumtia korokoroni mwandishi wa The Guardia aliyepiga picha wanafunzi wanaosomea chini ya mwembe.

Hatujakaa sawa akaishia kuzomewa na machinga wa simu 2000 kwa kutilia shaka uwezo wake.

Huyu atumbuliwe tu hafai
PUNGUZA WIVU,,
 
Bomboko alitokea Ukerewe moja kwa moja mpaka Ubungo, thats an overdose, injini ya starlet unafunga katika scania semi trela, angetoka ukerewe akaja ilemela, akatoka akasogea Arusha au Mbeya, au Kibaha.....yaani iwepo programu ya kuwakuza kiutawala na kiuzoefu katika kupambana na mambo. Jiji la Dar linatakiwa liwe for the most experienced D.C, amechujwa kwa kila namna.

Sasa mtu katoka kupambana na wala sangara, hawana hekaheka zozote zile, unamkabidhi kamati ya ulinzi na usalama ambayo hailali, simu muda wote. Ukerewe saa mbili usiku kila mtu yuko ndani. Haina shughuli nyingi za kiuchumi, machangu wa huko ni wa kistaarabu, sio wa kujipanga barabarani.

Yaani Bomboko mtamfanya awe anapiga boko nyingi.....ubungo ni dozi nene kwake.
Point yako ina mashiko
 
Sijui hata jina lake ila ndani ya siku chache ametoa pasi mkaa au boko za kutilia shaka uwezo wake.
Alianza na kamata kamata ya machangudoa pale riverside,kesi iko mahakamani ,anaitia serikali hasara maana kesi za ukahaba ni kama za uchawi ,hazina ushahidi wa moja kwa moja,mwisho wa siku wataachiwa tu.

Akaja kumtia korokoroni mwandishi wa The Guardia aliyepiga picha wanafunzi wanaosomea chini ya mwembe.

Hatujakaa sawa akaishia kuzomewa na machinga wa simu 2000 kwa kutilia shaka uwezo wake.

Huyu atumbuliwe tu hafai
Shida ni upatikanaji wao ndiyo tatizo linapoanzia
 
Sijui hata jina lake ila ndani ya siku chache ametoa pasi mkaa au boko za kutilia shaka uwezo wake.
Alianza na kamata kamata ya machangudoa pale riverside,kesi iko mahakamani ,anaitia serikali hasara maana kesi za ukahaba ni kama za uchawi ,hazina ushahidi wa moja kwa moja,mwisho wa siku wataachiwa tu.

Akaja kumtia korokoroni mwandishi wa The Guardia aliyepiga picha wanafunzi wanaosomea chini ya mwembe.

Hatujakaa sawa akaishia kuzomewa na machinga wa simu 2000 kwa kutilia shaka uwezo wake.

Huyu atumbuliwe tu hafai
Hawa wakuu wa wilaya wanatakiwa kuwa na elimu na exposure kuhusu siasa, sheria, katiba. Hata kwa kupigwa msasa tu.

Kuna kauli zao zinaidhalilisha serikali.

Mfano mkuu wa wilaya anasema watu wanaopiga picha na fedha wakamatwe, wakamatwe kwa kosa gani? Kwa sheria gani?
 
Back
Top Bottom