Sijui hata jina lake ila ndani ya siku chache ametoa pasi mkaa au boko za kutilia shaka uwezo wake.
Alianza na kamata kamata ya machangudoa pale riverside,kesi iko mahakamani ,anaitia serikali hasara maana kesi za ukahaba ni kama za uchawi ,hazina ushahidi wa moja kwa moja,mwisho wa siku wataachiwa tu.
Akaja kumtia korokoroni mwandishi wa The Guardia aliyepiga picha wanafunzi wanaosomea chini ya mwembe.
Hatujakaa sawa akaishia kuzomewa na machinga wa simu 2000 kwa kutilia shaka uwezo wake.
Huyu atumbuliwe tu hafai
Mzee Makamba anasema alimtumia Magufuli kimemo kuwa amateue kijana wake kuwa DC, Magufuli alikataa!!Shida ni upatikanaji wao ndiyo tatizo linapoanzia
Sijui hata jina lake ila ndani ya siku chache ametoa pasi mkaa au boko za kutilia shaka uwezo wake.
Alianza na kamata kamata ya machangudoa pale riverside,kesi iko mahakamani ,anaitia serikali hasara maana kesi za ukahaba ni kama za uchawi ,hazina ushahidi wa moja kwa moja,mwisho wa siku wataachiwa tu.
Akaja kumtia korokoroni mwandishi wa The Guardia aliyepiga picha wanafunzi wanaosomea chini ya mwembe.
Hatujakaa sawa akaishia kuzomewa na machinga wa simu 2000 kwa kutilia shaka uwezo wake.
Huyu atumbuliwe tu hafai
Ndiyo nchi ilipo yaaniMzee Makamba anasema alimtumia Magufuli kimemo kuwa amateue kijana wake kuwa DC, Magufuli alikataa!!
Kuna mtu mwenye uwezo mkubwa CCM?Na hili ndio swali la msingi.
Anakijana mdogo zaidi mwenye kustahili kuwa DC ?Mzee Makamba anasema alimtumia Magufuli kimemo kuwa amateue kijana wake kuwa DC, Magufuli alikataa!!
Sio wivu huyo jamaa ni kilaza kabsa full. NAMJUA A TU ZPUNGUZA WIVU,,