Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Nimekuwa najiuliza taratibu zilizomfanya Charles Boniface Mkwasa kuchaguliwa kuifundisha timu ya soka ya taifa letu kama zilikidhi nia yetu ya kusonga mbele, naambulia kusononeka tu. Kocha huyu anafanya mambo kama anashinikizwa vile na kwa sasa anazidiwa kimaarifa na kina Mbwana Samata na Tomas Ulimwengu. Juzi kataja kikosi na kukiita kambini jana kaahirisha kambi eti vilabu vinajiandaa kwa ligi! TFF tafuteni kocha mwengine wa timu hii.