py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
"Ni rahisi kwa mchezaji wa Azam kwenda Simba kuliko kuja Yanga, hatuko tayari kulipa kiasi hicho ingawa siwezi kukitaja hapa,
Azam wanataka tuwalipe pesa nyingi kwa ajili ya beki Gadiel Michael kwa mkataba wake uliobaki, tutasubiri hadi mkataba wake uishe" - Charles Boniface Mkwasa
Azam wanataka tuwalipe pesa nyingi kwa ajili ya beki Gadiel Michael kwa mkataba wake uliobaki, tutasubiri hadi mkataba wake uishe" - Charles Boniface Mkwasa