Mkwasa: Azam FC ni Simba SC 'B'

Mkwasa: Azam FC ni Simba SC 'B'

Hivi sheria ya usajili inaruhusu kumsajili mchezaji kabla mkataba kuisha? Yanga walitozwa faini kwa kosa kama hilo kwa Hassan Kesi , sasa hili la Gadiel Michael watapona kweli?

Nadhani Yanga wanatakiwa kujichunga. Hilo la Gadiel ama wawalipe Azam au wapigwe faini na,TFF.


Vv
mkuu kinachokatazwa Ni kufanya kazi (kucheza,mazoezi,matangazo)kabla mkataba kuisha ILA kama Ni mazungumzo na kusaini mkataba unaruhusiwa pale mkataba Wako ukibaki miezi sita
 
Hayatuhusu na wala hatutaki yatuhusu

YANGA DAIMA.
 
Azam ndiyo walewale wanamnyima mchezaji Uhuru wakati aitaki timu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja ni mkataba uliopo baina ya azam na mchezaji. Hata Kama hiluitaki timu mkataba unakubana.
Kwanza Yanga wana makosa wamemrubuni mchezaji wa Azam. Azam wakienda FIFA Yanga wanafungiwa na faini juu
 
10d1752924e7bc2a1612dc063b2afb72.jpg
7cf6df27a2b106bdea0f38a420370093.jpg
 
unalia muda huu hapo kabla hamkupitia hiyo mikataba na kufanya mazungumzo!
 
Azam ijifunze kuwasainisha mikataba mirefu wachezaji wake ili kuwakomesha wahuni wa simba na Yanga

Nyambafu
 
Sasa kama hukitaji tutajuaje kama ni kikubwa au kidogo?

But on a serious note, timu zetu zijifunze taratibu za kuuziana wachezaji. Haipendezi kila siku malumbano tu, na pia sio fair kabisa wachezaji kama Manula, Gadiel na Bocco ambao wamelelewa na Azam toka makinda wanaondoka tu happily kwa klabu zao bila klabu kupata angalau pesa ya maji.

Same to Ramadhani Singano, Ibrahim Ajibu na Abdi Banda au jinsi wachezaji wa Mbao walivyoiacha timu yao solemba isipokuwa wachezaji 1 au 2 ndio kidogo wameipa mbao pesa kidogo. Utaratibu mbovu sana unaofanya timu zishindwe kuwekeza kwa vijana na kuchukua njia za mkato. Kwa halii mpira wetu kupanda itakuwa ni ndoto
Mi sielewi kitu kimoja. Why mchezaji ana age U25 eti anasajiliwa kwa kandarasi ya miaka miwili tu!

Worse enough. Mchezaji anatumikia mkatabaka wake mpk umabaki miezi 6 timu mmiliki haishtuki!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom