MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
- Thread starter
-
- #41
Kocha wa Kilimanjaros stars amedai tatizo kubwa la timu yake kupoteza ni hujuma walizofanyiwa na Algeria moja wapo ni kuwepo kwa koki za maji uwanjani (pitch).
Walifanya michezo hii kwenye upande stars na kubadilisha tena koki kufuata upande wa stars kwenye second half.
Nini maoni yako mwana michezo mwenzangu?
mbongo ukimpa nafasi ya kujitetea tu anakuacha.
sasa baada ya kugundua koki za maji why nao wasitumie fursa kuwafunga algeria