Mkwasa: Tatizo sio wachezaji tatizo uwanja ulikuwa na koki za maji

kwanini captain asilalamike? au ana nidhamu ya uoga.
 
Mwanzisha mada atupe kwanza chanzo cha habari yake, la sivyo yeye ndiye atakuwa ameweka koki za maji akilini mwa wanaojadili mada yake.
 
Mzee ruksa alishawahi sema, tanzania ni kichwa cha mwe....
 

Viwanja vyote vya kisasa vina koki
 
Hakuna kitu uwongo mtupu wamefungwa kialali hakuna koki wala nn
 
akubali yaishe amekula 7 aache porojo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…