Mkwasa: Tatizo sio wachezaji tatizo uwanja ulikuwa na koki za maji

Mkwasa: Tatizo sio wachezaji tatizo uwanja ulikuwa na koki za maji

kwanini captain asilalamike? au ana nidhamu ya uoga.
 
Mwanzisha mada atupe kwanza chanzo cha habari yake, la sivyo yeye ndiye atakuwa ameweka koki za maji akilini mwa wanaojadili mada yake.
 
Mzee ruksa alishawahi sema, tanzania ni kichwa cha mwe....
 
Kocha wa Kilimanjaros stars amedai tatizo kubwa la timu yake kupoteza ni hujuma walizofanyiwa na Algeria moja wapo ni kuwepo kwa koki za maji uwanjani (pitch).

Walifanya michezo hii kwenye upande stars na kubadilisha tena koki kufuata upande wa stars kwenye second half.

Nini maoni yako mwana michezo mwenzangu?

Viwanja vyote vya kisasa vina koki
 
Hakuna kitu uwongo mtupu wamefungwa kialali hakuna koki wala nn
 
mbongo ukimpa nafasi ya kujitetea tu anakuacha.

sasa baada ya kugundua koki za maji why nao wasitumie fursa kuwafunga algeria

Hahahahaaa hahahaaa
 

Attachments

  • 1448080114019.jpg
    1448080114019.jpg
    68.9 KB · Views: 141
Back
Top Bottom