Mkwasi Rostam na Vodacom



Jamani tubane kwenye point nayo ni kwamba kama Vodacom ni kichwa ngumu basi sisi tukomae nao hadi kieleweke vinginevyo watamke kabisa na tuone kwamba RA kesha temwa tumtafute aliko .
 

LOL...nadhani sasa umenielewa as to why nasema hapa ni bla bla tuu bila facts as to why we should boycott one of the biggest employers and taxpayers in the country..nimekupa example ya safaricom..jus google it na utaona the issue at hand, local shareholders ni siri compared to bongo ambayo ni wazi kabisaa hadi kwenye website..that should tell you something..hiyo ya supermarkets was jus effects of elections and tribalism nothing to do with war on mafisadi..lets fight the issues at hand bila kuweka siasa siasa..boycott vodacom kwa faida ya nani..tanzania? au its competitiors?
 
Tuemdelee kupinga na huku watu wanafanya mambo kama ya Ivuna Metiorite .Sijui ni nini hatuwezi kuona jinsi tunavyo changangana .Unasema pato al serikali linamsaidiaje mtu wa kijijini kwenu ? Hebu acha kuwapa wazee wako pesa ya kula uone kama utasikia serikali inagawa pato la Taifa kwa manufaa .Matokeo yake wanajilimbikizia na kuweka ukuta waendelee kufa sie twafa .Sijaona hoja yako kapinga .Mugisha kesha sema hapo juu naona unakuja na hadithi badala uweke data .Si unazo ? Ziweke kupinga bandiko langu ndiyo maana tuko hapa .Kusema unaanza ku loose touch ni poa tu .Tuko hapa kabla yako na tutaendelea kuwepo sisi wengine .

Naomba jamani tuendelee na harakati hizi za kuonyesha nia na kufanya kweli kulinusuri Taifa .Tuanze na huyu kwa vyovyote vile iwavyo .
 

And im guessing ur thread had data?? wot data..shareholding za vodacom sio siri..sipo hapa kumtetea rostam wala mambo ya siasa bali kukuuliza benefits za vodacom huzioni au unazikataa? na je unawajua local wamiliki wa hizo tigo, celtel na zantel? wot makes u think they are any better?? thread inaleta utata kama ni against vodacom to benefit tanzania au against rostam for politcal reasons? please weka wazi get real man by not buying a sim card u think u will affect rostams pocket?? Do u know how many companies these alleged mafisadi have shares in? wewe hauishi bongo thats why u dont get my arguement..hundreds of thousands of our brothers and sisters are employed by most of these companies from mining to telecommunications..au umewasahau? u think they jump on this band wagon?? make concrete arguements that look at the issue from all angles..kama u wana get rid of rostam out of bunge coz of his influence and business practises sawa and im with you...tupeleke hoja kwa wapiga kura wake...economically no one in the right mind will support you!

Let me let u in on an insider tip...ur barking at the wrong tree here unless u want some silly reporter to write dirt on vodacom..im sure you are aware of which communiy runs tanzania ...im referring to the indian and arab communities that own 90% of the country's biggest businesses..and they are all pro-ccm. You knw why? coz its good for business..and trust me i have heard with my own ears take it or leave it..these groups will never pour money to CUF, UDP or CHADEMA coz they have not set out a clear agenda that will offer them their security...mind you these are not my words...back to the issue at hand your arguement has elements of patriotism but fails to acknowledge the bigger picture of what your campaigning here...U CANT FIGHT THE WAY MULTINATIONALS WORK IN AFRIKA OF ALL PLACES..dont get emotional and political jus cause they make record profits... u think their 5,000,000 customers ni hewa? competitors should step up they game...

(if u got hopes of pulling major business moves and im talking millions of dollars in bongo..im sure deep down u dont dispise but u will admire rostams hustle..dont hate the player hate the game) lol

ps: google shell and its operations in nigeria, it will give you perspective as to who is the real problem in african countries..and its not the businessmen..
 
Ukimya wa watanzania usichukuliwe kuwa umbumbumbu, umma wa watanzania upo makini sana na ni suala la kujitambua tu ndo tutaweza kususia hizi huduma za mafisadi.

wakati naitupa sim ya voda ilikuwa ni kwa sababu ya 'wizi' gharama zilikuwa kubwa ajabu na nimejiunga na mtandao mwingine kabisa. Laiti wapiga filimbi wangeamua kuuelimisha
umma basi hali ingekuwa tofauti.


Tususie bidhaa za mafisadi
 



Kapinga
Swala wa wezi na wakiwemo Waarabu na wahindi liko wazi.Na ukisema niko nje ya Nchi you are wrong mimi niko hapa hapa .Hali halisi ya watu wetu kupata ajira naijua na maisha yalivyo lakini kuna ukweli kwamba Nchi ina angamia .
Obe nakubaliana nawe pia kwa hili sambamba na gharama zao kuwa kubwa bado RA kwa kuwa na share tu ni hatari na hatuhitaji kuendelea kumwacha anatuibia .Sikusema nina data za ziada nilisema kwamba kwa kuwa the man yaani RA ana share kule basi ni wakati wa sisi ku boycott huduma za Vodacom .Na sikusema nitaleta data zaidi maana ziko wazi hapa ni kutangaza mgogoro tu .
 

Nzo hii ya ku create email haina haja ya kumsubiri Lunyungu afanye. If your serious wewe ingia vitani moja kwa moja kwa kutengeneza email na kuanza kuisambaza. Mimi hata bila kuuliza consent ya Lunyungu nimeshaanza kutuma emails kwa watu ninaowafahamu nearly 100. Hivyo tengeneza mwenyewe. Unaweza kupata points nzuri tu za kuanzia kutoka katika Thread hii hii
 

Shukrani mkubwa .Mie nimetangaza vita na nyie na mimi so ni majemedari so tunapanga wote na kupigana wote ukipata upenyo fanya kweli .Sambamba na mail tupeni kadi za Vodacom.Ukinipigia na simu ya Vodacom na nakujua tuko hapa I will Ignore your call be assure of that .
 
Nina kumbusha tu kwamba tuongeze speed maana umeona hata neno EPA kutamkwa na Wabunge wa CCM hakuna .Wamesha kubaliana na sisi tutalia kweli kweli .Je umepata wangapi walio hama Vodacom ?
 
Watanzania tushinikize Rostam akamatwe na Vodacom itaifishwe.
Asante.

funny!!
Anyway,
Salam kwa wote.
Nadhani wote sio simple minds discussing ppl,
we wanna discuss issues.
Like grand corruption.
RA is among the top players.
Tafadhali kwa heshima (japo siko VODA), ili niweze kutathmini, RA ana share ngapi Caspian?
Je Caspian inamilikiwa na mafisadi wengine?
Je makampuni gani mengine yanamilikiwa na Caspian?
Je yana umuhimu kwake kuliko Voda?
Tusipoteze nguvu kuua tembo kwa ubua.
 


You have gone emotional here .Umeandika hujaenda in details .Unataka ushahidi ama kitu gani .Umesona vyema michango na nondo kibao za wananchi huko juu kabla ya kuandika ?
 
You have gone emotional here .Umeandika hujaenda in details .Unataka ushahidi ama kitu gani .Umesona vyema michango na nondo kibao za wananchi huko juu kabla ya kuandika ?

sijasoma zoote, ila ukinipa links zenye majibu yangu nitashukuru sana, tunataka tummalize kabisa, manake kila nikiingia nakuta watu wanaunga mkono au wanapinga tu bila kunijibu swali langu, na nimeshauliza hili swali mara kibao.
 
sijasoma zoote, ila ukinipa links zenye majibu yangu nitashukuru sana, tunataka tummalize kabisa, manake kila nikiingia nakuta watu wanaunga mkono au wanapinga tu bila kunijibu swali langu, na nimeshauliza hili swali mara kibao.

Kama ndugu haika hujasoma inakuwaje unakimbilia hitimisho .Hapa hapewi mtu link na ukiona mjadala ni mrefu kaa pembeni ama tumia muda kusoma na uelewe ndiyo kila mmoja anafanya na si kurukia mbele ya mchuma unaona matokeo yake ?
 
Unataka ushahidi wa aina gani ? Umesoma hata mtu katoa hapa jedwali kuonyesha Rostam ana share ngapi kule Vodacom ? Ina maana ni kwlei hujui kwamba RA ana share vodacom ?

RA ana share ngapi Caspian?
 
Voda bado ni mtandao wenye nguvu licha ya kuwa una mkono wa RA, hata hivyo kamanda Lunyungu umeshindwa kunishawishi kuondoka hapo Voda. Hadi sasa nina imani kuwa Voda inatoa mchango mkubwa katika sekta mbalimbali za kijamii katika TZ, hivyo naona kususia huduma zao ni sawa na kuzorotesha huduma wanazochangia ikizingatiwa mimi sina sehemu yoyote ninayolipa kodi katika Tz zaidi ya VAT wakati wa kununua mahitajio yangu.
 

Kibunango ndiyo maana naitwa Lunyungu nawe Kibunango maana yake ni nini ? hatuwezi kuona kila kitu kwa usawa na mimi naamini unayo yasema kabisa na nakubaliana ila wana kasoro 2 kubwa sana .

1.RA mkono wake
2.Gharama zao ni kubwa mno .

bado nasisitiza kupigwa chini tuendelee na kampeni bila ya kuchoka .
 
Haika RA=Caspian 19%

Ina maana Caspian ambayo ina 19%shares voda, inamilikiwa na RA 19% pia?
Kwa mtazamo huo ina maana Ra ana 19% ya 19% kwenye mtandao wa Voda?
Kama sijakupata vizuri naomba nieleweshe.

Lakini bado hujajibu maswali yangu, makubwa
celtel/tigo/zantel/hits zinamilikiwa na kina nani? tuweze kufanya chaguo jema, au tukutegemee wewe kutuambia tuhamie unakopenda wewe?

nimesoma michango yote sasa na maswali yangu hayajajibiwa popote zaidi ya mmoja alisema kuwa tigo inamilikiwa na ultimate, na huyo si anajulikana, hagusiki, anachotaka lazima apate?
Au humjui?
binafsi sina ubaya wa kususia bidhaa yoyote (hata kama haipatikani kwingine) ila nachoomba tu ni facts. BASI.
PIE CHART MOJA HAIWEZI KUTUPELEKA WOTE KAMA UPEPO,

Lyungu nakujua kwa mada zako za kizalendo, lakini jaribu kwa hii kuchimba kidogo, ndo uakilishe.
Kwa sasa naona kama unajishusha, kama vile una hasira na Voda na sio RA, namake hata hutaki kusema RA ana kampuni gani zingine.
 


Wana JF
Huyu Haika anataka kujua RA ana makampuni gani .Naomba mpeni majibu tafadhali .Anataka kujua Zantel na zingine wamiliki ni wapi .Mie sijui .Nimesema nime single out Voda kwa share za RA .Kama ni kusema watu wahamie basi msimamo ungalikuwa ni TTCL ndiyo kampuni ya Taifa .Siwaambii mwende wapi baada ya Vodacom ila ninawaomba mgomee huduma za vodacom sababu ya RA .Hata kama angalikuwa na share moja tunacho fanya tunapigana na ufisadi huu na nimeanza na RA .Sina chuki na kampuni ambayo si fisadi .
 
Utaratibu wa kujisafisha ilikuwa ni pamoja na kuweka pesa za EPA kwenye benki halali na pia kuinvest kwenye legit companies na pia kuchanganyana kwenye mikamati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…