[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah... nikishafuturu itabidi nikutafute unifafanulie vizuri manake najihisi kama nishaanza kuku-mind hivi! Yaani binamu kama binamu, na sio binamu kama kaka... ngoja nipumzike kwanza!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usiumize kichwa dear, hilo ni robot
Umeona kile kidevu lakini babe
Umeona kile kidevu lakini babe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekiona love, yaani kidevu kina uchebe[emoji39] mwee alafu ndo robot[emoji31]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah sichangii kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kidevu cha kuombea mkopo
Kimefanana na cha mdogo wangu
@Mnazareth
Wewe apo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inabidi tukiangalie tuu jamani love!! Ila wamejua kutukomesha kutuwekea robot lenye kidevu cha Taifa
Hahahaahahahahyaani alafu kile sio cha superstar [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wacha tuendelee kukiangalia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Namcheki tu hapa, eti anamkubali Mkwepu.Huyo Mpwa wako kaniboa kishenzi... atasemaje "mi nampendaga" huku kalegeza macho na shingo namna hiyo", aaaaaaargh... mabinamu mengine hasara kweli!
Hebu hukoo