Mkwepu Jr The Creep

Mkwepu Jr The Creep

Nyie hamjui.

Unakuta Uzi una koment mf 4

Koment y a 1 ina ...likes 60


Koment ya 2 ina ...likes 00

Komenti ya 3 ina ...likes 58




Ivi uyo wa koment namba 2, kila akiisoma na hauna likes, siunaishia kujiona Bonge La Kilaza.



Mimi naona, mkwepu jr aendelee kugonga likes tu......

Kwa sababu niyeye afanyae vilaza kama mimi, nasie tujione tuna wafuasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa naunga mkono hoja, Hasa hiyo sentensi ya mwisho.
 
Mfano ni huu hapa



Huo Uzi una michango zaidi ya 300..

Lkn jamaa hajapewa hata likes.


Kwann mkwepu jr asihusike???
IMG_20200503_133031_123.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa hatari mzee, km huu uzi mpk ss una comments 249 na hii yng ya 250 lkn ktk hzo 249 nimepitia baadhi kwa kufanya random selection, nmekuta jamaa ka like zootee [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom