Kuna huyu mwanachama mwenzetu anaitwa Mkwepu Jr huwa sijawahi kumuelewa, yeye yupo kila sehemu na anagonga LIKE TU bila kuchangia mada yoyote ile. Halafu huwa anagonga LIKE muda ambao wengine wameacha kuchangia, kinachoniuma moyo sana ni kwamba huyu mwenzetu hata uzi uwe na kurasa 1000 atagonga LIKE kwenye kila changizo.
Wewe jamaa
mkwepu jr you are very very creepy , hilo lipicha lako la kugidevu guligojaa mindevu pamoja na hizi tabia zako unafanya sisi tufikirie kwamba you are kinda twisted. Wewe mwana hebu acha hizi michongo: Juzi nimeona umegonga LIKE kurasa zaidi ya 2000 halafu muda ambao wenzako wameacha kuchangia halafu hukuchangia kitu.
Dude, you're so creepy.....