ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ulale pema bk wa TMK mapanga/
ulale pema Steve 2 k/fadha nelly langa/
ulale pema Albert mangwair/John mjema mapacha/ Ni njia Moja tunayoelekea nitafuata/
ulale pema remmy ongala/ kweli kifo hakina huruma japo foleni msafara/
ulale pema mark 2 b/ mapema umesonga Mr ebbo/
Ulale pema d rock songa/
ulale pema marijani rajabu/
tx mosh/mzee ngurumo buriani babu/Justine kalikawe/haki iko wapi kwa sugu umekwenda leo uko mbali naye/
ulale pema cool James dandu hata uliyempenda pia analia cool James wangu/
ulale pema complex na Vivi/bi. kidude daima nakuombea ulale pema bibi/
ulale pema YP Umetangulia ndo maana nasema RIP/
ulale pema side boy/
Ulale pema my bro pablo/ tutaonana Tena mcee/
Ulale pema Adam kuambiana/ umekwenda tumebakia binadam kuambiana/
Ulale pema pwagu ulale pema pwaguzi/ na sajuki/zikufikie salamu salama.
Ulale pema Rachel haule/ umeondoka mapema wengi wanatamani tena uwe na uwepo/
Ulale pema mwasisi wa vichekesho mzee small ngamba A.K.A baba kapeto/ bila kumsahau mzee majuto.
Ulale pema kanumba/ vema uliitangaza Tanzania uende safari Njema kwa muumba/
Pia ulale pema mzee kipara mengi nimejifunza kwako ulikuwa mzee wa busara/
Ulale pema sharo milionea/ wa muheza tanga kwa muweza Dua bado nakuombea/
Nakukumbuka George Tyson/Mr mlepoloo na Mr John stephano/
Ulale pema maneto/Jose kesi/kwa mola sio kwa shwetani/
Ulale pema Max wa mizengwe/ imetokea Mungu kukupenda Zaid nafsi yako haijapotea/
Ulale pema chuchuru chuchuru mwenga/Nas B/nasibu James mkoba/balterzari/
Ulale pema chacha wangwe/
hayati mwalimu mheshimiwa Julius kambarage/
Ulale pema amina chifupa/
mwende safari njema kwa muumba
Mlale pema ruge/na mzee wa mastori ya town/
Ulale pema baba uliyenizaa bila wewe,mimi ningekuwa Nani kwenye hii mitaa/
Mlale pema ndugu, jamaa na mashujaa
ulale pema Steve 2 k/fadha nelly langa/
ulale pema Albert mangwair/John mjema mapacha/ Ni njia Moja tunayoelekea nitafuata/
ulale pema remmy ongala/ kweli kifo hakina huruma japo foleni msafara/
ulale pema mark 2 b/ mapema umesonga Mr ebbo/
Ulale pema d rock songa/
ulale pema marijani rajabu/
tx mosh/mzee ngurumo buriani babu/Justine kalikawe/haki iko wapi kwa sugu umekwenda leo uko mbali naye/
ulale pema cool James dandu hata uliyempenda pia analia cool James wangu/
ulale pema complex na Vivi/bi. kidude daima nakuombea ulale pema bibi/
ulale pema YP Umetangulia ndo maana nasema RIP/
ulale pema side boy/
Ulale pema my bro pablo/ tutaonana Tena mcee/
Ulale pema Adam kuambiana/ umekwenda tumebakia binadam kuambiana/
Ulale pema pwagu ulale pema pwaguzi/ na sajuki/zikufikie salamu salama.
Ulale pema Rachel haule/ umeondoka mapema wengi wanatamani tena uwe na uwepo/
Ulale pema mwasisi wa vichekesho mzee small ngamba A.K.A baba kapeto/ bila kumsahau mzee majuto.
Ulale pema kanumba/ vema uliitangaza Tanzania uende safari Njema kwa muumba/
Pia ulale pema mzee kipara mengi nimejifunza kwako ulikuwa mzee wa busara/
Ulale pema sharo milionea/ wa muheza tanga kwa muweza Dua bado nakuombea/
Nakukumbuka George Tyson/Mr mlepoloo na Mr John stephano/
Ulale pema maneto/Jose kesi/kwa mola sio kwa shwetani/
Ulale pema Max wa mizengwe/ imetokea Mungu kukupenda Zaid nafsi yako haijapotea/
Ulale pema chuchuru chuchuru mwenga/Nas B/nasibu James mkoba/balterzari/
Ulale pema chacha wangwe/
hayati mwalimu mheshimiwa Julius kambarage/
Ulale pema amina chifupa/
mwende safari njema kwa muumba
Mlale pema ruge/na mzee wa mastori ya town/
Ulale pema baba uliyenizaa bila wewe,mimi ningekuwa Nani kwenye hii mitaa/
Mlale pema ndugu, jamaa na mashujaa