Mlango wa nje unatakiwa kufungukia nje au ndani?

Mlango wa nje unatakiwa kufungukia nje au ndani?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Tumezoea milango mingi inafungukia ndani. Sasa nikapita sehemu nikaona mjadala. Wanasema ukifungukia nje hata mtu hawezi kuupiga teke ukafunguka kirahisi. Pia wanasema kuna space inaongezeka ndani.

Naangalia faida za kufungukia ndani sizioni, ila naona tu muonekano unakuwa mzuri. Nini maoni yako?
 
Hata majengo ya serikali kama shule inafunguka kwa nje. Hii ni kuwa kukitokea tatizo kama tetemeko obviously wanafunzi watabanana mlangoni. Kama mlango unafungukia nje watapita nao. Kama unafunguka kwa ndani watabanana na hawatatoka
 
Km fundii mlango km umewekaa miwili mfno grill na wa mbao n ngumu yt kufungukia njeee lzm grill itafungukia njee na wa mbao ndan hyo inatokana hakutakuwa na nafac ya milango yt kufungukia njeee,lkn km unaweka mlango mmoja n vyema ukafungukia njee ,au utaangaliaa muonekano utaonekanajee ukifungukia njee kutokana na mjengo wako ulivyo
 
Tumezoea milango mingi inafungukia ndani. Sasa nikapita sehemu nikaona mjadala. Wanasema ukifungukia nje hata mtu hawezi kuupiga teke ukafunguka kirahisi. Pia wanasema kuna space inaongezeka ndani.

Naangalia faida za kufungukia ndani sizioni, ila naona tu muonekano unakuwa mzuri. Nini maoni yako?
Kiusalama ni Nje kwa ajili ya moto nk ila kwa kuwa saizi kuna emergency window nk ,ufungukie popote hakuna shida.
 
Kama kuna mlango mmoja tu basi unapaswa kufungua kwa nje, lkn kama una milango labda kama kwangu iko mitatu, (JIKONI, NYUMA, NA MBELE) huu wa mbele unafunguka kwenda ndani, hiyo mingine kutokana na exposure niliyokuwa nayo basi Inafunguliwa kwenda nje ili kujiokoa wakati wa majanga mbalimbali. ULAYA wanatumia sana hiyo style.
 
Milango kufunguka ndani ni mazoea tu, lakini kiutaalamu na kiusalama mlango unapaswa kufunguka kwa nje, hata kwa nyumba binafsi.
... na ya vyumbani pia ifungukie kwa nje? Namaansha nje ya hivyo vyumba? Mbona nyumba itakuwa kitu cha ajabu sasa? Yaani corridor imejaa mamilango tu!
 
Kama kuna mlango mmoja tu basi unapaswa kufungua kwa nje, lkn kama una milango labda kama kwangu iko mitatu, (JIKONI, NYUMA, NA MBELE) huu wa mbele unafunguka kwenda ndani, hiyo mingine kutokana na exposure niliyokuwa nayo basi Inafunguliwa kwenda nje ili kujiokoa wakati wa majanga mbalimbali. ULAYA wanatumia sana hiyo style.
Hapo hakuna gril ni ya mbao tu?
 
Tumezoea milango mingi inafungukia ndani. Sasa nikapita sehemu nikaona mjadala. Wanasema ukifungukia nje hata mtu hawezi kuupiga teke ukafunguka kirahisi. Pia wanasema kuna space inaongezeka ndani.

Naangalia faida za kufungukia ndani sizioni, ila naona tu muonekano unakuwa mzuri. Nini maoni yako?
Technically milango yote hutakiwa kufungukia Nje ni basi tuu binadamu ni wabishi sana
 
Back
Top Bottom