mwipwa
Senior Member
- May 25, 2018
- 102
- 257
Tumia huu uzi wa kumaindi masuala uliyoshindwa kumaindi kwenye group lenu la whatsapp la familia. Upo free kumlaumu hata shangazi humu na hatutakujaji....
Binafsi namlaumu sana mzee kwa kutaka kuongeza mke ili hali tunajua yule mwanamke ni mchaga na amefata Mali za huyu mzee mkinga..[emoji57][emoji57]
Shenzi sana huyu dada na hatuna la kumfanya na mzee kaoza kabisa pale...
Binafsi namlaumu sana mzee kwa kutaka kuongeza mke ili hali tunajua yule mwanamke ni mchaga na amefata Mali za huyu mzee mkinga..[emoji57][emoji57]
Shenzi sana huyu dada na hatuna la kumfanya na mzee kaoza kabisa pale...