Mlaumu yoyote hapa umtakae bila kuwa na wasiwasi...

Nayalaumu Maadui yangu Mazembe, na Majinga sana sana, hayana akili, kwa nini nimeyashinda tena kirahisi kabisa? Nataka adui mwenye akili nyingi atakaye changamsha akili zangu ili nifike mbali kinyota!!!

Sasa haya yanakuja na uchawi wa kijinga, wa kishamba kabisa, ili nife, sasa angalia yamekufa yenyewe mpaka sasa sina adui tena!!
Jingine linakuja kunisema kwa kunilaani jamani!! Eti Oooh! ''utabaki ivoivo'' wakati hii ndo rahisi kabisaa!!

Nikarudisha kwake yaleyale Maneno km alivo ni laani Nikamjibu ''wewe ndiyo utakufa ivoivo na ukoo wako na familia yako mimi nitapasua anga tena siyo na Bombardia bali na Trans world, Swiss, Lufzansa Air Line!!'' maviwanda na mifwedha kedekede!! utanisikia tu. amepotea sijui yuko wapi!
 
Wewe fulani nakulaumu sana tena sana hata nikipretend hakuna shida ila moyoni shida ipo.nachokuombea uishi miaka mingi kuna siku utajua kuwa dunia ni chungu kuliko unavyodhani. Nahisi utapata vyote ila hutokaa ukapata amani ya moyo coz yawezekana unalaumiwa na wengi sio mimi tu.
Nachoomba kwa Mungu uwe hai tu.
 
Niko kwenye darasa la kutomlaumu mtu wala situation yoyote kwasasa
 
Binafsi namlaumu sana mama yangu kwa kubali ndugu wanichukue nikaishi nao na kunilea

Mungu anipe uzima wanangu ntaishi nao no matter what lakini kwa ndugu hatoishi labda mungu anichukue

comment tayari.
 
Akuone unavo barikiwa siyo?

Si umseme tu Dada? tunamjua fika aliyekuliza ni Dr Jackquiline Marere wa kituo cha Afya Mikocheni, kabla ya hapo alikuwa Sinza Palestina Hosp... Kapigika huyoo! na kweli aliliza wengi.
 
Ndugu mleta mada,

Napenda kutumia nafasi hii kumlaumu Khantwe kwa kunilaza nje weekend iliyopita ijumaa kuamkia jumamosi na kuzima simu nikinyeeshewa mvua kwa Masaa manne kabla ya kupata chumba cha kulala kwa wasamaria wengine

Aisee Mimi mapenzi yamekuwa yakinitesa tu kila siku sijui nakwama wapi Mtu mzima mimi
 
Akuone unavo barikiwa siyo?

Si umseme tu Dada? tunamjua fika aliyekuliza ni Dr Jackquiline Marere wa kituo cha Afya Mikocheni, kabla ya hapo alikuwa Sinza Palestina Hosp... Kapigika huyoo! na kweli aliliza wengi.
Duh si kweli hao ulowasema siwajui kweli.
 
Kuna member mmoja ninamlaumu sana,najua umebadilisha Id na unapita kimya kimya ila machozi ya wengi hayatakuacha salama.Pigo ulilopata ni mwanzo tu,hiyo dhambi itakutafuna wewe na kizazi chako chote usipotubu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…