Mlete mzungu lugha yenye viashiria vya kibaguzi

Mlete mzungu lugha yenye viashiria vya kibaguzi

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Ukifuatilia Kwa Makini tunakoelekea na Kelele hizi.

Naona mchezaji wa Simba anazalilishwa kutokana na rangi yake .

Siongelei kishabiki lakini fuatilieni na ninyi muone.

TFF Toeni neno tunakoelekea siko, kwa nini ni mzungu tu na lugha za kukebei.

Kwani hakuna wachezaji wengine wa Simba wanacheza hovyo.

Bora wangetaja hata Jina lake kuliko kusema mzungu. Ni Sawa na samatta anavyochezavulaya afu Waseme mlete mweusi.
 
Sidhani kama lengo la "Wakebehi" wetu ambao wengi wao ni wale wa Uto FC ni la kibaguzi zaidi tu ya kuibeza Simba...ingawa sikatai huenda wakajitokeza Wachache wakawa na mtazamo huo unaosema ila hauwezi kuwa na nguvu kushindi upande mwingine.

Kwanza si kwamba Wapenzi wa soka ni Wageni kwa uwepo wa Wazungu kwenye tasnia yetu ya soka, kwani asilimia karibu 80 ya Makocha ambao tumekuwa nao ni Wazungu...hivyo basi kuna sababu ya hili la Dejan kuwa spesho...na uspesho huo ni utani zaidi.

Pili ni kuwa pamoja na kwamba jili litamtegemea Muhusika mwenyewe (Dejan) atakavyochukulia...ila kama nae ni Mtu wa ku take easy sidhani kama linamsumbua...usisahau tuanye anayejiita mwenyewe Mzungu Kichaa.

Tatu, hivi kwani kuwa Mzungu ni udhalili? mbona ni sisi wenyewe tunaona hiyo ni class....hivi kwa mfano unaweza kumtukana au kumdhalilisha Mtu kwa kumuita "wewe ni Mtu makini au kumdhalilisha ni kumita wewe ni Mwehu"...huu ni mfano tu nasisitiza.

Mwisho wa siku nikuulize, wewe ungependa tumtambulishaje Mr Dejan miongoni mwa Wachezaji wenzake....pale ambapo Mtu anataka kusema mmoja wa Wachezaji wa Simba ni.......tumuite mweupe, Mzungu ama....tupe jina lisilo la kibaguzi.
 
Unless huekewi nini maana ya ubaguzi.

Mzungu=whiteman
Mweusi=Black.

Hata kama ni utani umevuka mipaka.

Kuna game ulaya ilivunjika kisa Tu mtu kaitwa this black guy. Akina Demba Ba walikiwasha

Watumie Jina lake badala ya kuita mzungu
 
Unless huekewi nini maana ya ubaguzi.

Mzungu=whiteman
Mweusi=Black.

Hata kama ni utani umevuka mipaka.

Kuna game ulaya ilivunjika kisa Tu mtu kaitwa this black guy. Akina demba ba walikiwasha


Watumie Jina lake badala ya kuita mzungu
Naungana na wewe kusema ni ubaguzi maana na Mimi Nilikuwa wa Kwanza kuanzisha mada kama hii wiki moja iliyopita.
Lakini jilipotafakari nikagundua chanzo cha ubaguzi ni Ahmed Ally. Yeye mwenyewe alipokuwa anamtambulisha alimbagua kisifa na kumleta akiwa tofauti na wenzake akiamini mbali ya race yake lakini pia Dejan atacheza "Kizungu" atafinga "Kizungu". Yaliposhindikana haya, ndo kejeli zilipoanzia. Lakini kama mchezaji anagedeliver aliyoyataka Ahmed Leo hizo unazoita kelele za kibaguzi zisinhekuwepo.
 
Ukifuatilia Kwa Makini tunakoelekea na Kelele hizi.

Naona mchezaji wa Simba anazalilishwa kutokana na rangi yake...
Sasa mbona huo utambulisho wa huyo mchezaji ulifanywa na msemaji wa timu! Hawa wengine si wamemuiga yeye! Au!!!
 
Ukifuatilia Kwa Makini tunakoelekea na Kelele hizi.

Naona mchezaji wa Simba anazalilishwa kutokana na rangi yake .

Siongelei kishabiki lakini fuatilieni na ninyi muone.

TFF Toeni neno tunakoelekea siko, Kwa nini ni mzungu Tu na lugha za kukebei. Kwani Hakuna wachezaji wengine wa Simba wanacheza hovyo.

Bora wangetaja hata Jina lake kuliko kusema mzungu. Ni Sawa na samatta anavyochezavulaya afu Waseme mlete mweusi.
Wabaguni saana hao mbwa huku ni wabaguzi Kinoma acheni kuwaheshimu Wabagueni muwezavyo mtakavyo huku wanatubagua Kinoma weusi
 
Back
Top Bottom