MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Ashukuriwe Mungu MO amepatikana, polisi wa Tanzania wamesema waliomteka walikua wanaongea kilugha cha Afrika Kusini na pia lafudhi za huko. Sasa mliokua mnafungua nyuzi na kuituhumu Kenya kwamba imehusika ili iwahujumu na kukwamisha sijui SGR yenu au mengine, vipi mtabadilisha wimbo na kuelekeza pua Afrika Kusini au mtawaogopa wale.
Nyie bana na hizi show zenu za Bongo movie.
Nyie bana na hizi show zenu za Bongo movie.