Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndio mmeuharibu uwanja kwa kuweka maushirikina yenu,Simba inahusikaje na uwanja mliushikilia nyie?Malipo ni Hapa Hapa. Haya ni Matokeo Ya Uhuni Mlioufanya Tarehe 8 March Hakuna Tena Kwa Mkapa Hatoki Mtu Nendeni Burundi Huko Mkacheze na Mashabiki Wasiozidi hata Mia moja Kudadadeki.
Wangeanza kugoma walipozuiliwa kuingiza mashabiki uwanjani. Unadhani kule kuna kuitana kamati ya masaa 72 ili kutengua kanuniSi wanaweza kucheza Azam complex!?
Anyway kwa ninavyowajua Simba wanaweza kuwagomea caf na mechi ikasogezwa mbele Simba shida moja
Pumbavu Hawa wagone kucheza mechi waoneMalipo ni hapa hapa. Haya ni Matokeo ya Uhuni Mlioufanya Tarehe 8 March hakuna tena Kwa Mkapa hatoki Mtu.
Nendeni Burundi huko Mkacheze na Mashabiki Wasiozidi hata Mia moja Kudadadeki.
Hakuna shida nyie Yanga mtatumia uwanja upi klabu bingwa Afrika robo fainali??Malipo ni hapa hapa. Haya ni Matokeo ya Uhuni Mlioufanya Tarehe 8 March hakuna tena Kwa Mkapa hatoki Mtu.
Nendeni Burundi huko Mkacheze na Mashabiki Wasiozidi hata Mia moja Kudadadeki.
Tena mechi ikachezwa kwa tarehe wanayo itaka simba, kikikikiSi wanaweza kucheza Azam complex!?
Anyway kwa ninavyowajua Simba wanaweza kuwagomea caf na mechi ikasogezwa mbele Simba shida moja
Tutacheza hapo hapo Mkapa na kiherehere cha kitakuishaMalipo ni hapa hapa. Haya ni Matokeo ya Uhuni Mlioufanya Tarehe 8 March hakuna tena Kwa Mkapa hatoki Mtu.
Nendeni Burundi huko Mkacheze na Mashabiki Wasiozidi hata Mia moja Kudadadeki.
Utafunguliwa tarehe 27 March. Hata mechi iliyoahirishwa itachezwa hapoMalipo ni hapa hapa. Haya ni Matokeo ya Uhuni Mlioufanya Tarehe 8 March hakuna tena Kwa Mkapa hatoki Mtu.
Nendeni Burundi huko Mkacheze na Mashabiki Wasiozidi hata Mia moja Kudadadeki.