Mlima Kilimanjaro utafutiwe Mwekezaji ili mapato yaongezeke

Wameanza na Tanganyika kumweka rais mwekezaji toka nchi jirani maana Zenji mtanganyika haruhusiwi kujenga Wakimaliza wataleta rais toka Oman ndio uwekezaji wa ccm huo Baptist
Tanganyika ndio kitu gani bwashee?
 
Hapo angeweza marehemu Mengi hawa wengine sidhani
 
Aiseee hatari hii baada ya kujaribu kuuza mbuga zote mnawaza na kuuza mlima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…