Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wanachuo haoHapa ukikaa unaweza kudhani watu wapo serious na maisha kumbe maigizo tu na vikao vingi hapa vimekaa kitapeli tapeli
Watu wawili ama watatu wanakaa kwenye moja ya coffee shops na mmoja anafungua laptop ama anashika notebook na pen
Ukitazama walivo serious ni kama kikao kizito cha biashara kubwa
Lakini kikao kinavoendelea unaona hakuna kinachosomwa kutoka kwenye laptop na hakuna kinachoandikwa kwenye notebook
And then mazungumzo unayosikia ni ya biashara ya Tzs 2 mil. ama ikizidi sana utasikia Tzs 7 mil.
Na broken english ya hapa na pale iliyotawaliwa na kiswahili kingi zaidi...like like nyingiiiiiii
Mji umejaa sanaa mingi sana huu, God have mercy🙌🙌
Hao ni wanafunzi wa chuo Kikuu pale Mlimani ambao wako so fake maishani.Hapa ukikaa unaweza kudhani watu wapo serious na maisha kumbe maigizo tu na vikao vingi hapa vimekaa kitapeli tapeli
Watu wawili ama watatu wanakaa kwenye moja ya coffee shops na mmoja anafungua laptop ama anashika notebook na pen
Ukitazama walivo serious ni kama kikao kizito cha biashara kubwa
Lakini kikao kinavoendelea unaona hakuna kinachosomwa kutoka kwenye laptop na hakuna kinachoandikwa kwenye notebook
And then mazungumzo unayosikia ni ya biashara ya Tzs 2 mil. ama ikizidi sana utasikia Tzs 7 mil.
Na broken english ya hapa na pale iliyotawaliwa na kiswahili kingi zaidi...like like nyingiiiiiii
Mji umejaa sanaa mingi sana huu, God have mercy🙌🙌
Hapa ukikaa unaweza kudhani watu wapo serious na maisha kumbe maigizo tu na vikao vingi hapa vimekaa kitapeli tapeli
Watu wawili ama watatu wanakaa kwenye moja ya coffee shops na mmoja anafungua laptop ama anashika notebook na pen
Ukitazama walivo serious ni kama kikao kizito cha biashara kubwa
Lakini kikao kinavoendelea unaona hakuna kinachosomwa kutoka kwenye laptop na hakuna kinachoandikwa kwenye notebook
And then mazungumzo unayosikia ni ya biashara ya Tzs 2 mil. ama ikizidi sana utasikia Tzs 7 mil.
Na broken english ya hapa na pale iliyotawaliwa na kiswahili kingi zaidi...like like nyingiiiiiii
Mji umejaa sanaa mingi sana huu, God have mercy[emoji119][emoji119]