Shkamoo kakaHiyo Mlimani Primary School iko Mkoa na Wilaya gani hapa Tanzania? Maana hata mimi niliwahi kusoma Mlimani Primary School iliyopo Tarafa ya Mang'ula, Wilayani Kilombero, Mkoani Morogoro miaka ya mwishoni mwa 80 kabla ya kuhama nikiwa darasa la pili!
JF raha sana ukisoma, thread za watu mstari kwa mstari. hahahahahhata mimi nimeshangaa.. nimemaliza la 7 mwaka 2000.. now nipo around 30s nimezaa mapema tu. ila mwanangu hata la 3 hajafika.. niliwaza huyu aliemaliza miaka miwili mbele yangu.. ana mtoto kamaliza la saba , tena sio yeye peke yake na classmate wake ana mtoto kamaliza la saba nikajua chai tu
Hahahaaaaaaaa hapoo n ubora tu wamananii kama.walikula.machips wangesikia KWAwenzaon WATOTOFirst of all.let me.declare interest, Mimi NI Alumni wa Mlimani Primary School, a class of 1998.
Mpaka.nimejilaumu kwanini sikumpeleka binti yangu at Mlimani Primary School ( Na yeye kamaliza darasa la Saba kwenye Shule.moja ya English Medium)
Hongera mkuu. Ulimaliza darasa la saba mwaka 1998, na tayari una mtoto ameshamaliza darasa la saba. Hongera sana
Kuna mdada alisoma shule za hela, mimi nimesoma shule ya serikali,
akiwa anaongea english mpaka nilikuwa najistkia muda mwingine.
Tulikuta kidato cha kwanza, akiwa anaongea kingeleza mpaka nikawa naogopa.
Mtihani umefika, ule wa kidato cha pili, masikini hata haonekani, amefeli vibaya sana.
Kumbe ni kingeleza cha kuongea tu, lakini mambo mengine namzidi mno
St kayumba wana kitu kinaitwa content kwa maana ya kwamba anaweza akawa hajui hicho kiingereza lakini ukimwambia chora ramani ya Tanzania akaķuchorea vizuri tena bila wasiwasi kitu ambacho watoto wa english media wenyewe hawana ila wanakomaa na kujua lugha only.
Inategemea mtoto unamwandaa a compete kimataifa au locally.Kila mzazi ana malengo Tofauti na mwanae hayako uniform Kama sare za Shule.Wewe peleka mlimani au Shule ya kata na usimpigie yowe huyo mwingine anayepeleka English medium.Kila mzazi a mind her or his own bussinessKabisa aisee tunapoteza mamilioni ya pesa na kujipa stress bure
Sawa ccmInategemea mtoto unamwandaa a compete kimataifa au locally.Kila mzazi ana malengo Tofauti na mwanae hayako uniform Kama sare za Shule.Wewe peleka mlimani au Shule ya kata na usimpigie yowe huyo mwingine anayepeleka English medium.Kila mzazi a mind her or his own bussiness
La Saba nilikuwa na.miaka 12/13. Dogo kazaliwa 2007 nikiwa nna miaka 21/22. .hata mimi nimeshangaa.. nimemaliza la 7 mwaka 2000.. now nipo around 30s nimezaa mapema tu. ila mwanangu hata la 3 hajafika.. niliwaza huyu aliemaliza miaka miwili mbele yangu.. ana mtoto kamaliza la saba , tena sio yeye peke yake na classmate wake ana mtoto kamaliza la saba nikajua chai tu
Marhaba dogo.Sh
Shikamoo kaka mkubwa
Wana walezi na wafadhili wengi. Dr. Asha Rose Migiro is one of them. Some of their teachers are graduates. Now Wana school bus pia. Hakuna gharama. Kupata nafasi ndio changamoto.NIMEPITA WAMEIBADILISHA SANA NAHISI HATA BEI ZAKE MWENDO WA PRIV NA KULE NYUMA WANA PLAN KUWEKA SEC SOON NA WANAOTOKA PALE PRIORITY KUZAMA SEC YAO INAPENDEZA SANA...,..
[emoji23][emoji23][emoji23] NAKWEDE kwani ni ajabu? Mimi nimemaliza early 2000s na kama ningekuwa nimezaa mapema basi isingekuwa ajabu kuwa na mtoto aliyemaliza la sabaFirst of all.let me.declare interest, Mimi NI Alumni wa Mlimani Primary School, a class of 1998.
Mpaka.nimejilaumu kwanini sikumpeleka binti yangu at Mlimani Primary School ( Na yeye kamaliza darasa la Saba kwenye Shule.moja ya English Medium)
Hongera mkuu. Ulimaliza darasa la saba mwaka 1998, na tayari una mtoto ameshamaliza darasa la saba. Hongera sana