Sa hivi mtoto ana umri gani[emoji23][emoji23][emoji23] NAKWEDE kwani ni ajabu? Mimi nimemaliza early 2000s na kama ningekuwa nimezaa mapema basi isingekuwa ajabu kuwa na mtoto aliyemaliza la saba
19Sa hivi mtoto ana umri gani
Teh teh teh
Huo mwaka 1998 aliosemea mkuu ni kweli kabisa maana kulikua na wasichana wawili waliojifungua na wavulana wanne waliotia mimba mabinti huko mtaani kwao,hawa ni baadhi ya niliowafahamu mimi.Kuna mabinti wawili walijifungua pindi wako form one 1999 pia.kama mimi peke yangu tu nizae 2005 ingewezekana... ila haiwezekani mimi na rafiki yangu classmate wangu wote tuzae 2005...
maana kwa mimi 2005 nina miaka 18 ningeweza kuzaa...ila mimi na classmate wangu marafiki wote tuzae tukiwa 18. na watoto wote wamalize la saba pamoja..hapo ndio chai inapoingia..
Itakua ulihamia pale miaka ya 1996 hivi,hukuanzia pale.I can't go that deep mkuu. Hapa jf mzee baba
Jordan unamkumbuka?
First of all.let me.declare interest, Mimi NI Alumni wa Mlimani Primary School, a class of 1998.
Nimekutana na classmate wangu akiwa na mtoto wake ambae amemaliza darasa la Saba mlimani Primary school. Honestly.she is very Bright. Mpaka.nimejilaumu kwanini sikumpeleka binti yangu at Mlimani Primary School ( Na yeye kamaliza darasa la Saba kwenye Shule.moja ya English Medium)
Sioni tofauti yoyote kati ya watoto wa Mlimani Primary School Na watoto wa other English medium schools. Sana.sana watoto wa hizo.English.medium schools Wana confidence tu ya kuzungumza kwa kiingereza lakini Mambo mengine NI kawaida sana.
Mnaoishi jirani na Mlimani Primary School acheni kupoteza mamilioni kuwapeleka watoto wenu English Mediums wakati Mlimani Primary School.ipo.
Kumpeleka mtoto wako English medium.wakati unaishi uswahili NI upuuzi tu.kwa sababu toto.lako.likitoka shule linakuja.kucheza na watoto.wenzake wa uswahilini ambao wanasoma.st kayumba.
Mzazi mpeleke mtoto wako.shule ya ya Msingi ya kawaida, msimamie vizuri, matuition kwa kwenda mbele halafu hayo.mamilioni ya kulipa.ada shule ya Msingi mtunzie utakuja.kuyatumia kulipa.shule nzuri ya secondary na nyingine zitamsaidia kwenye maisha yake ya baadae.
Mtoto wa mtu unamuita toto unachuki nao au?First of all.let me.declare interest, Mimi NI Alumni wa Mlimani Primary School, a class of 1998.
Nimekutana na classmate wangu akiwa na mtoto wake ambae amemaliza darasa la Saba mlimani Primary school. Honestly.she is very Bright. Mpaka.nimejilaumu kwanini sikumpeleka binti yangu at Mlimani Primary School ( Na yeye kamaliza darasa la Saba kwenye Shule.moja ya English Medium)
Sioni tofauti yoyote kati ya watoto wa Mlimani Primary School Na watoto wa other English medium schools. Sana.sana watoto wa hizo.English.medium schools Wana confidence tu ya kuzungumza kwa kiingereza lakini Mambo mengine NI kawaida sana.
Mnaoishi jirani na Mlimani Primary School acheni kupoteza mamilioni kuwapeleka watoto wenu English Mediums wakati Mlimani Primary School.ipo.
Kumpeleka mtoto wako English medium.wakati unaishi uswahili NI upuuzi tu.kwa sababu toto.lako.likitoka shule linakuja.kucheza na watoto.wenzake wa uswahilini ambao wanasoma.st kayumba.
Mzazi mpeleke mtoto wako.shule ya ya Msingi ya kawaida, msimamie vizuri, matuition kwa kwenda mbele halafu hayo.mamilioni ya kulipa.ada shule ya Msingi mtunzie utakuja.kuyatumia kulipa.shule nzuri ya secondary na nyingine zitamsaidia kwenye maisha yake ya baadae.
Hakuna utaratibu wa shule 2 kutumia jina moja. Hakuna Mlimani Primary School mbiliHiyo Mlimani Primary School iko Mkoa na Wilaya gani hapa Tanzania? Maana hata mimi niliwahi kusoma Mlimani Primary School iliyopo Tarafa ya Mang'ula, Wilayani Kilombero, Mkoani Morogoro miaka ya mwishoni mwa 80 kabla ya kuhama nikiwa darasa la pili!
Mate wangu ila masconga Tofauti mzeeNipo hapo toka mwaka 92
hahhaaaaa😂😂😂😂First of all.let me.declare interest, Mimi NI Alumni wa Mlimani Primary School, a class of 1998.
Mpaka.nimejilaumu kwanini sikumpeleka binti yangu at Mlimani Primary School ( Na yeye kamaliza darasa la Saba kwenye Shule.moja ya English Medium)
Hongera mkuu. Ulimaliza darasa la saba mwaka 1998, na tayari una mtoto ameshamaliza darasa la saba. Hongera sana
Hakuna utaratibu wa shule 2 kutumia jina moja. Hakuna Mlimani Primary School mbili
Hao nimekutajia hapo walitangulia mbele za haki kabla ya 1998,i thought you'd have known.....mmoja wapo alitangulia mbele za haki 2000.May their soul R.I.PNipo hapo toka mwaka 92
Nzuri mzee mwenzangu! Nawe ulikuwa "Vidudu" hapo miaka hiyo?Teh habari yako mzee mwenzangu
Ndio mzee mwenzanguNzuri mzee mwenzangu! Nawe ulikuwa "Vidudu" hapo miaka hiyo?
Aise! Idumu mitandao!Ndio mzee mwenzangu