TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,041
Nini tena hii!MOD naomba ufanye kazi yako!it is unfair!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini tena hii!MOD naomba ufanye kazi yako!it is unfair!!
dini ghani hiyo? Kama ni mashahidi wa yehova ni waongo watupu.nlimuuliza mojawapo iwapo mkwewe anajifungua na ikahitajika damu atamwacha afe???? Mbona akaguna na kujibu mungu atamponya tu.huo ni usanii mtupu wajamini mungu huyu huyu ndo kawapa madaktari utaalamu huo na isitoshe biblia haisemi mtu asichangiwe damu. Na isitoshe hawa jamaa wanaojiita mashahidi wa jehova jina halisi la mungu nipo ambae nilikuepo(i am that i am) hakusema jina zaidi ya hilo kwa musa. Jehova au yehova limetokana na kuzitengeza herufi y h wh amablo lilifanywa na katibu wa papa zamani sana.......kwa hivo ndugu yangu tusidanganye wajamini tutoe damu kuokoa maisha.