Mlimbwende huyu ni mfano wa kuigwa................


jehova witness. Hata kama damu inakauka hakuna kuongezewa. Nimewahi kushuhudia wife kapata accident na husband yuko pembeni anamtia moyo afe katika salama katika imani. Lakini hakukubali mke wake aongezewe damu!! Baada ya masaa kama manne hivi wife akafa. Tena jamaaa ni pfoffesor na mama alikuwa ni medical doctor!! Imani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…