Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Mrembo wa Ilala 2010 ambaye pia ni Balozi wa gazeti la HABARILEO, Bahati Chando (wa pili kulia) pamoja na wageni mbalimbali aliofuatana nao wakipamba mti wa Krismasi na watoto wa Kituo cha Loveness ikiwa ni ishara ya kusherehekea nao kwenye kituo hicho. (Picha na Fadhili Akida).