Shilole, snura na wabana pua wengineAngalau tunanza kujielewa, hata katika aina nyengine ya sanaa kama uwimbaji kuna wasanii hawawezi ila wamoo tuu nao wanajiimbia
blackpassblack pussy anajua kuchekesha, isipokuwa amechagua jina baya sana la matusi ya nguoni. na ikizingatia yee mwenyewe ni mweusi afu anajiita black pussy
vyovyote itakavyoandikwa, lakini maana halisi ya black pussy ni "kalio jeusi", yeye mwenyewe ni mweusi automatically ana makalio meusi...hahaha, alafu anajitaja hilo jina.blackpass
Ila all time comedian kwa Tz ni Majuto akifuatiwa na JotiIla wakali wa vichekesho bongo kuna joti,majuto,braza K,Senga,pembe,bambo,mtanga,Kingwendu.....mpoki kwa mbaaliii na wakuvanga.
list yako ya kiwakiWatanzania unafiki ni sehemu ya maisha yetu. Nadhani ni sababu mojawapo kwa nini hatuendelei.
Pamoja na hilo kuna watu tusiojua kabisa kuhusu unafiki, we call a spade a spade, white colour white.
Mlio karibu na hawa wasanii waambieni fani ya uchekeshaji sio hawaiwezi.
1. Idrissa.
2. Blackpussy.
3. Oka Martin.
4. Mkali wenu.
5. Dulvan.
Hawa watu hawajui kabisa kuchekesha. Yani hawajui na hawajui kama hawajui. Wanatumia nguvu nyingi mno.
Hakuna kazi rahisi kama kuchekesha binadam. Kitu pekee ambacho binadam anaweza kukifanya na kwa haraka bila gharama yoyote ni kucheka.
Kazi zipo nyingi za kufanya, watafte kazi nyingine. Steve Nyerere tulimwambia mapema akasikia akatafta kazi nyingine ya kufanya.
bila shaka atakuwa anakugonga/alikugongea dem wako.Kuna mtangazaji mmoja wa Clouds anaitwa sijui nani, B Dozenakama sijakosea. Huyu hana kitu kabisa.
Jamani jamani jamaniOngeza na Magufuli hapo
[emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji124]Ongeza na Magufuli hapo
Yaani huyo Idris ilitakiwa afunguliwe Uzi wake binafsi kabisa...Yani hapo kidogo idriss
Aisee...vyovyote itakavyoandikwa, lakini maana halisi ya black pussy ni "kalio jeusi", yeye mwenyewe ni mweusi automatically ana makalio meusi...hahaha, alafu anajitaja hilo jina.