NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Baada ya pira papatu papatu na Simba sc kufuzu hatua ya makudi.
Kituo kimoja Cha redio kilifanya mahojiano na msemaji wa CAF (Ahmedy Ally) Kama anavyojiita.
Maandishi : "mashabiki wanasema kuwa wanashinda Lakini Hawana furaha!?
Ahmedy Ally: "Cha msingi kusonga mbele tutamfunga Al Ahly hivyo hivyo mpaka tutafika nusu fainali na ndiyo malengo ya Simba sc.
Maoni yangu: Ahmedy Ally anaongea kiushabiki sana na kuona mashindano ya klabu bingwa ni Kama kombe la mapinduzi, Ngao ya jamii au anadhani Kuna Coastal Union huko.
Na ndiyo maana mashabiki wanazomea timu isipopata matokeo kwa kuwa wanaaminishwa vitu ambavyo vipo nje ya uwezo kiuhalisia Simba sc kwa mwenendo huu ni ngumu kwenye makundi.
Mliokuwa karibu na Ahmedy Ally mwambieni achuje vitu vya kuongea asiongee kwa kuwapa mashabiki moyo maana football ni mchezo wa wazi.
Kituo kimoja Cha redio kilifanya mahojiano na msemaji wa CAF (Ahmedy Ally) Kama anavyojiita.
Maandishi : "mashabiki wanasema kuwa wanashinda Lakini Hawana furaha!?
Ahmedy Ally: "Cha msingi kusonga mbele tutamfunga Al Ahly hivyo hivyo mpaka tutafika nusu fainali na ndiyo malengo ya Simba sc.
Maoni yangu: Ahmedy Ally anaongea kiushabiki sana na kuona mashindano ya klabu bingwa ni Kama kombe la mapinduzi, Ngao ya jamii au anadhani Kuna Coastal Union huko.
Na ndiyo maana mashabiki wanazomea timu isipopata matokeo kwa kuwa wanaaminishwa vitu ambavyo vipo nje ya uwezo kiuhalisia Simba sc kwa mwenendo huu ni ngumu kwenye makundi.
Mliokuwa karibu na Ahmedy Ally mwambieni achuje vitu vya kuongea asiongee kwa kuwapa mashabiki moyo maana football ni mchezo wa wazi.