Mlio kuwa mnamponda Moloko leo mmeona umuhimu wake?

Mlio kuwa mnamponda Moloko leo mmeona umuhimu wake?

Sanaaa, Especially Moloko na Morrison. Beki za simba zikawa busy shabalala hapandi kabisa.
Exactly!! Acceleration ya Moloko aswa kwenye game kama hii ya Mtani uwa ina impact sana.

Humfanya Zimbwe kutokupanda sana kushambulia.

Na pia nimchezaji anaeweza kubreak backline Yako kwa gafla sana na kukuacha ukishangaa.

Kongole! Kwa Kocha Nabi kwa kuliona ilo na kufanya sub yake, hakika alikua na mchango mkubwa sana katika ushindi wa leo. [emoji122]
 
Exactly!! Acceleration ya Moloko aswa kwenye game kama hii ya Mtani uwa ina impact sana.

Humfanya Zimbwe kutokupanda sana kushambulia.

Na pia nimchezaji anaeweza kubreak backline Yako kwa gafla sana na kukuacha ukishangaa.

Kongole! Kwa Kocha Nabi kwa kuliona ilo na kufanya sub yake, hakika alikua na mchango mkubwa sana katika ushindi wa leo. [emoji122]
Mchezaji mwenye Kasi lakini asiyejua kumaliza Jambo. Baada ya kazi nzuri huwa anamalizia Kwa cross mbovu.
 
Back
Top Bottom