Mlio single mnaishi vipi?

Mlio single mnaishi vipi?

Mzee unaniongeleshaje kiingereza, ulinilipia ada!? Halafu kibaya ni asubuhi, naamka kutoka usingizini nakutana na kiingereza, kibaya zaidi nimeamk na swaumu, nimefunga mwenzio hata daku sijala jana.

Ale in ze moning unaniongelesha kiinglishi kwel[emoji17][emoji17]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anyways sina chakufanya ila ushauri wangu .
Ni huwezi ishi maisha yote single .
Unakuwa hujakamilika kabisa
Ni mtazamo wako, au pengine Hilo ni kwa akina Mama, Mimi mwanaume na ninaelekea mwisho wa maisha yangu, sijaona taabu, ni maisha bila bhughugha na mtu.
 
Laiti ningekua single wallah ningejitahidi sana nisioe kabisa ani[emoji28]

Ubachela hasa ukiwa single ni raha sana
 
Back
Top Bottom