[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nikajua nayo anakula[emoji16]Mie nina swaumu, sasa mzee mbona tena mezani na maganda ya mayai, hayo si yangeishia kule kule jikoni, au umepikia mezani?
Mabachela kazi ipo[emoji23][emoji1787]
Hapana sio mimi mkuu, kwanza sina sifa ya uhandsome boy, yaani 35+ niwe handsome boyWee utakuwa yule handsome boy aliye msumbua Kelsea wangu
Huenda sisi washamba, labda kachemsha yanaliwa [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nikajua nayo anakula[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]Mzee unaniongeleshaje kiingereza, ulinilipia ada!? Halafu kibaya ni asubuhi, naamka kutoka usingizini nakutana na kiingereza, kibaya zaidi nimeamk na swaumu, nimefunga mwenzio hata daku sijala jana.
Ale in ze moning unaniongelesha kiinglishi kwel[emoji17][emoji17]
[emoji23][emoji23][emoji23]hapo ukute anakaazake hapo juu ya meza anakula akimaliza anaondoka Hana stress[emoji23]Huenda sisi washamba, labda kachemsha yanaliwa [emoji23][emoji1787]
Kama lipi??Huu ni uongo! Miaka mitatu utakuwa na tatizo kubwa kisaikolojia.
Ni mtazamo wako, au pengine Hilo ni kwa akina Mama, Mimi mwanaume na ninaelekea mwisho wa maisha yangu, sijaona taabu, ni maisha bila bhughugha na mtu.Anyways sina chakufanya ila ushauri wangu .
Ni huwezi ishi maisha yote single .
Unakuwa hujakamilika kabisa
Nakazia [emoji1][emoji1]Tulio single kazi zutu ni kula tunda kimasihara.
Aina ya Wadada ninaowataka wananikataaa sasa nifanyeje Unique FlowerTatizo lenu hadi mumponde mtu sijui kwanini
Mwombe MunguAina ya Wadada ninaowataka wananikataaa sasa nifanyeje Unique Flower