Wakuu,kuna shori flani nlimit nae pande za feisibuku,sa katka zle chattngs za mara kwa mara,nkajikuta nimemlamba sound nae bila kuzuga nin akawa dezain flan ka kaingia line,wel kaniambia jana kaenda moshi na me ka zali flan kesho natimba pande za skan kwetu huko huko moshi,sa naomben maushauri yenu,nikampge mikasi au nitemane nae?