Mliobadili ID....

Nimpe simu uongee nae? Maana yuko busy hapa na movie utadhani kuna tuzo za watazamaji bora.
Atanipigia mwenyewe simu yako ya bei rahisi ina mionzi mikali sitaki apate matatizo...
 
Mie sichepuki wewe, ninachokitaka nakipata kwa the one and only, si unamtambua mwenyewe sgemeji yako alivyo bonge la bwana? Nihangaike na nini tena zaidi ya kumwambia Mungu ahsante!!!
Mbona hum- cc kama mapikipiki? πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Mie sichepuki wewe, ninachokitaka nakipata kwa the one and only, si unamtambua mwenyewe sgemeji yako alivyo bonge la bwana? Nihangaike na nini tena zaidi ya kumwambia Mungu ahsante!!!
Hahaha
Naomba kweli ukisemacho kikawe ngao ya unayoyaishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…