Mliobadili ID....

Jamani mliobadili ID tuambiane PM tafadhali. Mimi binafsi nawaomba akina dada mliobadili ID tutambuane ili tusitongozane kwa mara ya pili,tatu,nne..

labda rounds hizi zaweza kuwa na mafanikio kama za mwanzo hazikuzaa matunda. Cha msingi flow yako ya kuomba hifadhi isiwe ile ya copy and paste, inatakiwa iwe dynamic.
 
Kiongozi hawa mademu wa JF usiingie kwa pupa... Niliingia chaka nikakutana na huyu hapa Numbisa

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ts like from the hell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…