Mliobadili ID....

Hicho kitu ngoja nije nikuambie maana nilichekaa nikajua umejichanganya na haukuwa makini.
Ha ha ha ha yaani badala ya ku-pm mchepuko akaku-pm wewe!

Enzi za ujana nilikuwa nachat na demu na mshkaji at the same time, namsimulia rafiki jinsi mtoto alivyo mtamu! Lahaula ile meseji nikamtumia huyo demu! Bahati nzuri nilikuwa namsifia ingawa ni too much details!
 
Ninalingine basi zaid Wewe mwambie anko naye anameshammiss... and a com thiz way
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mie ndio ile nimeanza mahusiano six mwishoni nikamrushia sista msg ya bf, weeeh nilitamani niruke nikaidake msg. Sitasahau aisee hicho kikao kilichokaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…