Siwezi kukuangusha... Na zawadi ya khanga nimeshamnunulia na kaipokea kwa mikono miwili...Hiyo pass ya kutoka kwa suarez neymar ushindwe mwenyewe
Ndiyo maana nakupendaga mimi.Nimekumiss pia anko wa rafiki yangu jamani. Si Ndio Maana nikakuchek pale Ili upitishe na salamu kwa shemela wangu.
Asante Manga...Bola uwapange kwa mikoa mana wanaongezeka kila kukicha hongela sana
Kwahyo Mimi Ndio Neymar au?
Pole khaaa kuna mambo ukikumbuka mpaka unajiuliza yalipitaje pitaje mana yanakera sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mie ndio ile nimeanza mahusiano six mwishoni nikamrushia sista msg ya bf, weeeh nilitamani niruke nikaidake msg. Sitasahau aisee hicho kikao kilichokaa.
HatujaribiwiiHii timu yenu nikiona tu inamzoea mrembo nakaa mbali!
Siwezi kukuangusha... Na zawadi ya khanga nimeshamnunulia na kaipokea kwa mikono miwili...
Ushindi uko wazi kabisa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwanini @PRONDO?Hii timu yenu nikiona tu inamzoea mrembo nakaa mbali!
Mpwa wewe mpira....Kwahyo Mimi Ndio Neymar au?
Eheee hee kesi itasikilizwaje apa [emoji101] [emoji101] [emoji101]
Au nimuite yule naniliuuu??Subili kidogo ntakujibu
Sitii neno apoTulia hivyo baadae niulize tu yaliishia wapi.
Hahahha dahHaahahh
Fuatilia mwandiko
Mwandiko wa mtu unagundulika kirahisi