Nipo nipo tuuuSafi bhana
Nakuonaa nakuonaaa
Mimi nmechange usernameMkuu hayakupata nini? ID mpya zinashawishi kweli ukiingia unagundua ni mzoefu anakuchora tu.
Yeah yeahWewe nakumbuka uliweka wazi....kan.....ze!
kumbe mpo wengi eee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi bado najiuliza tuuu ata sijuiliniiMichepuko sio dl mkuu km ushafanikiwa kupata mmoja hapa jf nahc anatosha wengine tafuta insta, fb na kwengineko. Usichukue wote mtaa mmoja.