Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
[emoji23] [emoji23] kweli id hii nlikuwa sikumbuki kama nimewahi kuiona ila mimi huwaga mzito kumuuliza mtuKhaa umeamua usibague kwa unavyopotea ha haaa kumbe humjui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] kweli id hii nlikuwa sikumbuki kama nimewahi kuiona ila mimi huwaga mzito kumuuliza mtuKhaa umeamua usibague kwa unavyopotea ha haaa kumbe humjui?
Yani raha ya humu usiongee kitu ukajua kemepotezewa ha ha haaaKausha basiii..🙂🙂😉
Jamani basi sikuona mdogo wangu sio style yangu kumkaushia mtu hata kama simjuiM mzima. Miss you too,juzi nimekuona kwa post Fulani nikaku quote ukanipa mkausho. Nkasema hajanitambua. Nmekumiss sisy
Ukajichamsha tu ukahisi wewe ndo tatizo hongela[emoji23] [emoji23] kweli id hii nlikuwa sikumbuki kama nimewahi kuiona ila mimi huwaga mzito kumuuliza mtu
Kweli kabisa kuna watu hukataaga walio yasema wataalam wanaleta ushahidi ujitetee upyaHa ha ha ha kweli ukiwa muongo usiwe msahaulifu....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha ha kweli ukiwa muongo usiwe msahaulifu....
Khaaa usimluke bhanaa hata mimi najua unajuaNdio nani?[emoji85]
Mi na mashaka nawewe kabisa, Si vyema ufanyavyo....Aifai kufanya aya uyafanyayoMimi nmechange username
Mi mwenyewe Nililiona ilo,Sema Nilishindwa kushangaaWe jaribu kufuatilia wanaoweka mabandiko kulee!!! Wengi wanakuja na ID mpya [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] sasa habari za kaka yako unaniuliza mimi si maajabu hayoKaka yangu...😉🙂😉🙂
Ndo kwanza nalisikia hilo jinaKhaaa usimluke bhanaa hata mimi najua unajua
Kuwa na mashaka ni kawaida. Au haujui usemi usemao wasiwasi Ndio akili??? Nashangaa tu Una mashaka na nini juu yangu??Mi na mashaka nawewe kabisa, Si vyema ufanyavyo....Aifai kufanya aya uyafanyayo
Ni kweli Sisy. Ndio Maana nilipokuona Hapa sijasita kukupa hi.Jamani basi sikuona mdogo wangu sio style yangu kumkaushia mtu hata kama simjui
hmm!!! Si vyema ufanyavyo ila...Kuwa na mashaka ni kawaida. Au haujui usemi usemao wasiwasi Ndio akili??? Nashangaa tu Una mashaka na nini juu yangu??
Si Sawa nifanyayo nimeua mtu??au ninatumia Id ya mtu??au namaliza bando lako since nimechange ID??
AND WHO ARE YOU BY THE WAY TO INTERROGATE ME??
Kubadilisha au kutobadilisha ni maamuzi binafsi ya mtu,Hata wewe ukiona hilo jina ulolitumia halikupendezi tena ruksa kujiita ASHAs.
You have a rite to doubt but not to that eksitenti. Ingekuwa ni illegal thing sidhani Kama JF wangekubali kunibadilishia hii ID.
Sit down,be humble.
Cc relato
Sio vyema kipi?? Kubadilisha ID ni illegal thing humu JF? basi wamiliki na mods wana halalisha illegal things. Maana huwezi badilisha ID bila wao kufanya hivyo.hmm!!! Si vyema ufanyavyo ila...
Kwa hiyo wale wifi zako kina honey fath huwajui?Ndo kwanza nalisikia hilo jina