Mliobadili ID....

Dah, alafu kweli kabisa kuna id mpya nyingi sana na zimechangamka na kujua mazingira ya humu kana kwamba zilikuwapo kabla, nafikiri motive kujishusha umri!
Yaani ajishushe umri humu ndani? If thats the case basi hamna shida maana from the start hata id ni fake, kwahiyo hata umri ukiwa fake sio mbaya.
 
Yaani ajishushe umri humu ndani? If thats the case basi hamna shida maana from the start hata id ni fake, kwahiyo hata umri ukiwa fake sio mbaya.
Mitongozo inapungua (mizinga inapungua) na shikamoo zinaongezeka kuja kwako, id imefinguliwa 2012 kushuka chini mpaka leo maana yake huyo ni mmama! Wadada wengi wapo kimkakati zaidi humu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona povuuu!!
Umenionea wapi Heaven Sent? Isije ikawa nayeye kashabadili id na kujipunguza miaka.
Wapi kina heavent sent, mamdenyi, miss strong, tumboo, atotoo, mamaafacebook mtoto wa tanga, na wale magwiji wengine wa MMU? Hawa nina uhakika wapo humu tena very active ila kwa id zingine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…