Mkuu huko kwa Kuwekeza roho yako we e anzisha Uzi tuu weka na vigezo.. Watakuja kibao wenye nia kama yako mtachaguana na Ku bargain hadi kufikia hitimisho.Asante mwenyeji wangu kwa ukarimu wako wewe na Daby maana kweli najihisi mwenyeji japo mgeni
Ila tu nomba mnionyeshe kasehemu ambapo naweza ekeza Roho yangu [emoji2] [emoji2] [emoji2]
cc Daby
Mie najua moja tu.Bora umesema vigelegele......?
Hivi kuna vigelegele aina ngapi?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mkuu huko kwa Kuwekeza roho yako we e anzisha Uzi tuu weka na vigezo.. Watakuja kibao wenye nia kama yako mtachaguana na Ku bargain hadi kufikia hitimisho.
Una uzoefu eeh!![emoji85] [emoji85] [emoji85]Mkuu huko kwa Kuwekeza roho yako we e anzisha Uzi tuu weka na vigezo.. Watakuja kibao wenye nia kama yako mtachaguana na Ku bargain hadi kufikia hitimisho.
Hahaaaaa[emoji125] [emoji125] [emoji125] nimejifunza kupitia nyuzi zaoo.Una uzoefu eeh!![emoji85] [emoji85] [emoji85]
Kumbe unaifahamu,Ile sio yangu ,wewe si ndo ulikuwa unatumia au uliacha ??
[emoji117] Mwanyasi [emoji87]Kumbe unaifahamu,
inaitwaje?
Weeee...Mie najua moja tu.
Ugeni dili.....Halafu mjanja huyo...umeona avatar yake?
Haha huyu zoezi la uhakiki wa wale watumishi hewa walimsameheAnajua maneno hayo hayoooo......
Lahaula. Haya mambo bibieHeheheeeee, haloooooo. Jamani mie[emoji108][emoji108]
[emoji16][emoji16]
Aseeh wapo vizuri ile mbaya. Wewe siunaona dada yangu anavyowasumbua humu jukwaaniInamaana baba na mama yako wako vizuriiiiii
Hadi tutajane wewe ushamjuaWeeeeh!! Shemeji yako gani alikupiga vibomu!!!
HahaIla sio kosa lake...hajui kiswahili....
Pale kwenye avatar najua ameamua kukutafutia case ndugu yangu..RRONDO Tuendelee kupokea wageni.Halafu mjanja huyo...umeona avatar yake?