Mliobadili ID....

Mliobadili ID....

Unabadili ID ili iweje? Hebu tuwekee sababu za kina za kuwa na ID zaidi ya moja na unapozitumia hutaki watu wajue kwamba una ID A, B, C labda na kuendelea
Mkuu nilichojifunza zipo sababu nyingi za binafsi zinazowasukuma wao kufanya hivyo.

Miongoni mwa sababu Kwa Mfano unakuta MTU ana ID Fulani Kwa ajili ya kushiriki mijadala ile moto moto ya kiheshima heshima hivi as GT's tunaelewa, alafu anakuwa na nyingine Kwa ajili ya "stress free zone" itakayomuweka huru kusema lolote popote bila kikwazo na ID hizo nyingi zipo kule MMU na Jukwaa la Wakubwa.

Pia Kwa Sababu mbali mbali unaweza Kuta ID Fulani MTU Fulani kashaifahamu Kwa hakika kabisa (Wenzi wanaweza husika hapo) sasa hupelekea kukosa Uhuru kabisa wakushiriki mijadala Fulani Fulani hususani ile "chit chat" na mengineyo.

So Kwa uelewa wangu hizo zaweza Kuwa kati ya sababu miongoni ya nyingi za binafsi.
 
Mkuu nilichojifunza zipo sababu nyingi za binafsi zinazowasukuma wao kufanya hivyo.

Miongoni mwa sababu Kwa Mfano unakuta MTU ana ID Fulani Kwa ajili ya kushiriki mijadala ile moto moto ya kiheshima heshima hivi as GT's tunaelewa, alafu anakuwa na nyingine Kwa ajili ya "stress free zone" itakayomuweka huru kusema lolote popote bila kikwazo na ID hizo nyingi zipo kule MMU na Jukwaa la Wakubwa.

Pia Kwa Sababu mbali mbali unaweza Kuta ID Fulani MTU Fulani kashaifahamu Kwa hakika kabisa (Wenzi wanaweza husika hapo) sasa hupelekea kukosa Uhuru kabisa wakushiriki mijadala Fulani Fulani hususani ile "chit chat" na mengineyo.

So Kwa uelewa wangu hizo zaweza Kuwa kati ya sababu miongoni ya nyingi za binafsi.

Ngoda umetugusa wengi hapo...
 
Eti huyu Nalendwa ni mpya sasa amemjulia wapi @atoto
Yawezekana alikuwa anaperuz km guest, kabla sijajiunga rasmi jf nilikuwa namsoma sana lara1,demba,nyani ngabu,watu 8,masai dada,heaven on earth,kaizer, kwahiyo upya haumaanishi kutokumjua mtu.


Teh!, Lawyer unajua sana kazi yako.
 
Back
Top Bottom