Mliobarikiwa na Mwenyezi Mungu Maarifa na Ubobezi wa Wanyama na Wadudu hebu nisaidieni katika hili Nielimike

Mliobarikiwa na Mwenyezi Mungu Maarifa na Ubobezi wa Wanyama na Wadudu hebu nisaidieni katika hili Nielimike

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Pua za Panya zipoje kwani nimetoka Kula Samaki na kwa Makusudi nimebakisha baadhi (tena Kufunga katika Mfuko usiopitisha Hewa) ili Kesho Asubuhi niwape Paka wanaojiandaa Kuniwangia na Kunilimisha Mzanaki Mimi Usiku huu nikilala ila nashangaa Panya wameshajua hadi nilipoficha na sasa wananilia timing tu Nilale waanze Kujichana / Kula. Je, kuna Sayansi gani kwa Panya?

2. Nina Kajitabia nimekaanzisha Siku hizi kila Saa 1 Kamili Asubuhi nafanya fanya Usafi Mazingira ya niishipo na kila Kukiwa na Mabaki ya Chakula (hasa Samaki au Nyama Siku zikinitembelea) huwapa Paka ambao huwa Nawapenda hata kama Sifugi / Siwafugi.

Kinachonishangaza sasa ni kwamba kila ifikapo hiyo Saa 1 Kamili za Asubuhi utawakuta tayari Mlangoni wakinisubiri na huwa hawachelewi hata dakika Moja.

Je, hapa pia huwa kuna Sayansi gani kwa Paka dhidi ya Hisia na Ratiba zangu GENTAMYCINE?

Je, nami sasa nianze Kuwaamini baadhi ya Wanasayansi na Wanasaikolojia wa Wanyama kuwa japo Sisi Wanadamu tunawadharau hawa Wanyama na Wadudu ila wengi Wao wana IQ Kubwa ambazo kama Wanadamu tungekuwa nazo basi tungepata Majibu ya Kutomlundikia Mtanzania na Matozo mengi / lukuki na badala yake tungeweza Kufikiri zaidi ili kuja na Mpango mwingine usio Kero kwa Mwananchi.

Karibuni mno Wabobezi mnielimishe.
 
Serikali za Kaiafrica zipo hivi: Zinambana mfanya kazi wa chini asiibe maduhuli ili hayo maduhuli yakaliwe na watawala wakubwa wa nchi mfano huyo tuliosema ni mzalendo tumesikia kuna mabilioni yalitoroshwa kwenda China, mara kuna chumba Kimekutwa na mihela CHATO ila huku chini ukibainika Umekula rushwa ya elfu 50 wanakutumbua na kukupa umaarufu mitandaoni na wanapata kiki za kisiasa.
 
Je wajua kuwa tembo hawaoni wenyewe kwa wenyewe Na akifiwa MTU Wa nje Na ukoo huenda kuhani siku tatu..Na tembo mama havuki barabara bila mtoto tembo
Digidigi ni wàafinifu kwenye mapenzi
 
1. Pua za Panya zipoje kwani nimetoka Kula Samaki na kwa Makusudi nimebakisha baadhi (tena Kufunga katika Mfuko usiopitisha Hewa) ili Kesho Asubuhi niwape Paka wanaojiandaa Kuniwangia na Kunilimisha Mzanaki Mimi Usiku huu nikilala ila nashangaa Panya wameshajua hadi nilipoficha na sasa wananilia timing tu Nilale waanze Kujichana / Kula. Je, kuna Sayansi gani kwa Panya?

2. Nina Kajitabia nimekaanzisha Siku hizi kila Saa 1 Kamili Asubuhi nafanya fanya Usafi Mazingira ya niishipo na kila Kukiwa na Mabaki ya Chakula (hasa Samaki au Nyama Siku zikinitembelea) huwapa Paka ambao huwa Nawapenda hata kama Sifugi / Siwafugi.

Kinachonishangaza sasa ni kwamba kila ifikapo hiyo Saa 1 Kamili za Asubuhi utawakuta tayari Mlangoni wakinisubiri na huwa hawachelewi hata dakika Moja.

Je, hapa pia huwa kuna Sayansi gani kwa Paka dhidi ya Hisia na Ratiba zangu GENTAMYCINE?

Je, nami sasa nianze Kuwaamini baadhi ya Wanasayansi na Wanasaikolojia wa Wanyama kuwa japo Sisi Wanadamu tunawadharau hawa Wanyama na Wadudu ila wengi Wao wana IQ Kubwa ambazo kama Wanadamu tungekuwa nazo basi tungepata Majibu ya Kutomlundikia Mtanzania na Matozo mengi / lukuki na badala yake tungeweza Kufikiri zaidi ili kuja na Mpango mwingine usio Kero kwa Mwananchi.

Karibuni mno Wabobezi mnielimishe.
Kumbe una panya ndani kwako,mkuu punguza uchafu
 
Je wajua kuwa tembo hawaoni wenyewe kwa wenyewe Na akifiwa MTU Wa nje Na ukoo huenda kuhani siku tatu..Na tembo mama havuki barabara bila mtoto tembo
Digidigi ni wàafinifu kwenye mapenzi
Unanielimisha au Unanichamba au Unanitaarifu?
 
Mkuu linapokuja kwenye suala unusaji, panya aheshimiwe....mfano yule panya Magawa alikuwa ananusa hadi mabomu....kuna wengine wananusa kama mtu ana TB
Duh.... Shikamoo Panya.
 
1. Pua za Panya zipoje kwani nimetoka Kula Samaki na kwa Makusudi nimebakisha baadhi (tena Kufunga katika Mfuko usiopitisha Hewa) ili Kesho Asubuhi niwape Paka wanaojiandaa Kuniwangia na Kunilimisha Mzanaki Mimi Usiku huu nikilala ila nashangaa Panya wameshajua hadi nilipoficha na sasa wananilia timing tu Nilale waanze Kujichana / Kula. Je, kuna Sayansi gani kwa Panya?

2. Nina Kajitabia nimekaanzisha Siku hizi kila Saa 1 Kamili Asubuhi nafanya fanya Usafi Mazingira ya niishipo na kila Kukiwa na Mabaki ya Chakula (hasa Samaki au Nyama Siku zikinitembelea) huwapa Paka ambao huwa Nawapenda hata kama Sifugi / Siwafugi.

Kinachonishangaza sasa ni kwamba kila ifikapo hiyo Saa 1 Kamili za Asubuhi utawakuta tayari Mlangoni wakinisubiri na huwa hawachelewi hata dakika Moja.

Je, hapa pia huwa kuna Sayansi gani kwa Paka dhidi ya Hisia na Ratiba zangu GENTAMYCINE?

Je, nami sasa nianze Kuwaamini baadhi ya Wanasayansi na Wanasaikolojia wa Wanyama kuwa japo Sisi Wanadamu tunawadharau hawa Wanyama na Wadudu ila wengi Wao wana IQ Kubwa ambazo kama Wanadamu tungekuwa nazo basi tungepata Majibu ya Kutomlundikia Mtanzania na Matozo mengi / lukuki na badala yake tungeweza Kufikiri zaidi ili kuja na Mpango mwingine usio Kero kwa Mwananchi.

Karibuni mno Wabobezi mnielimishe.
Kwa hao paka wa saa 1 ni saikolojia tu; kuzoelesha!
Kwa panya kunusa ni jadi yao,wapo vizuri mnoo.
 
1. Pua za Panya zipoje kwani nimetoka Kula Samaki na kwa Makusudi nimebakisha baadhi (tena Kufunga katika Mfuko usiopitisha Hewa) ili Kesho Asubuhi niwape Paka wanaojiandaa Kuniwangia na Kunilimisha Mzanaki Mimi Usiku huu nikilala ila nashangaa Panya wameshajua hadi nilipoficha na sasa wananilia timing tu Nilale waanze Kujichana / Kula. Je, kuna Sayansi gani kwa Panya?

2. Nina Kajitabia nimekaanzisha Siku hizi kila Saa 1 Kamili Asubuhi nafanya fanya Usafi Mazingira ya niishipo na kila Kukiwa na Mabaki ya Chakula (hasa Samaki au Nyama Siku zikinitembelea) huwapa Paka ambao huwa Nawapenda hata kama Sifugi / Siwafugi.

Kinachonishangaza sasa ni kwamba kila ifikapo hiyo Saa 1 Kamili za Asubuhi utawakuta tayari Mlangoni wakinisubiri na huwa hawachelewi hata dakika Moja.

Je, hapa pia huwa kuna Sayansi gani kwa Paka dhidi ya Hisia na Ratiba zangu GENTAMYCINE?

Je, nami sasa nianze Kuwaamini baadhi ya Wanasayansi na Wanasaikolojia wa Wanyama kuwa japo Sisi Wanadamu tunawadharau hawa Wanyama na Wadudu ila wengi Wao wana IQ Kubwa ambazo kama Wanadamu tungekuwa nazo basi tungepata Majibu ya Kutomlundikia Mtanzania na Matozo mengi / lukuki na badala yake tungeweza Kufikiri zaidi ili kuja na Mpango mwingine usio Kero kwa Mwananchi.

Karibuni mno Wabobezi mnielimishe.
Wakati wenzako wanajifunza mambo ya Msingi vyuoni ww ulikuwa bze kujifunza misamiati mipya ya MATUSI pale SAUT na namna ya kula mbususu kimasihara.

Usituchoshe.
 
Kuna Nyumba isiyokuwa na Panya Dar es Salaam? Acha Ubwege na Upimbi sawa?
Hapa kwetu Tandale Beobeo hatuna panya,mkuu punguza uchafu ndani mwako

Halafu mkuu bwege na pimbi ni wewe unaeishi na wanyma hatarishi ndani mwako
Punguza uchafu
 
Back
Top Bottom