Mliobobea katika 'Saikolojia' na 'Maono' kwa 'Msisitizo' wa 'Kauli' ya Rais Dkt. Magufuli mnamwambiaje 'Prime' Majaliwa?

Mliobobea katika 'Saikolojia' na 'Maono' kwa 'Msisitizo' wa 'Kauli' ya Rais Dkt. Magufuli mnamwambiaje 'Prime' Majaliwa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.

Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
 
....kwamba YA KESHO HAYAJULIKANI....
....kwamba mh.Rais HATABIRIKI Wala HADHIBITIKI....iwe kwa kufanya sana kazi,iwe kwa kujipendekeza,iwe kwa NGUVU ZA GIZA kumkaanga ili MAPENZI yake yawe kwako(hapa ninamaanisha wateule wowote wale).

Hakika tumepata RAIS mwenye msimamo kwelikweli....

Turidhike atusimamie KUTULETEA MAENDELEO kwani ameshasema YEYE hajui DIPLOMASIA zaidi ya 2+2=4..
4-1=3....

Tumuunge MKONO atupigie mahesabu ya MAENDELEO MAKUBWA YA NCHI huku tukisubiri wanaDIPLOMASIA waje miaka IJAYO wakute MAENDELEO MAKUBWA YA MIUNDOMBINU na vitu ili "wao" wasipoteze tena muda wa KUJENGA MIUNDOMBINU bali "watuendeshee midahalo kila mitaa na kila vijiji"😂😂
 
Atakwenda ICC sasa aogope kitu gani wakati ushahidi upo kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki ilikosekana amani tu.
 
Kumbe alimtumia meseji ya kujipendekeza ya pongezi..mara ooooh umeapa vizuri lakini jiwe hakujibu ..

Kuna kitu
Katika 'Members' ambao mnaanza Kunielewa ninachotaka 'Kukimaanisha' katika 'Uzi' wangu huu mmoja wapo ni Wewe. Hapa kuna 'lililojificha' tu.
 
Je yeye ana uhakika wa kumaliza mitano tena? ICC wamekiri kupokea mzigo
Tatizo hujui muktadha ICC ya wapi jamaa anaweza kufanya kazi take, wala porojo za ICC sijui kama amezifikilia au kuzisikia. Ilikua mgomo,ilikua kuandamana bila kikomo saivi ICC hili litapita na hmn lolote litakalo tokea.
 
Back
Top Bottom