Mliochaguliwa LLB Saut

Mliochaguliwa LLB Saut

Oooh! Wakuu kashaingia huyu kingxvi hakika hakuna chamsingi atakachochangia.
 
Last edited by a moderator:
wewe tangu umejiunga hapa lini umewahi kuchangia la maana

Ukitaka fungua thread mpya then uliza kwa wadau, hata macho hayakuonyeshi kwamba nimewekewa sticky nyingi though zingine niliomba zifutwe kutokana na kuibuka wachangiaji kama wewe.

Lakini ningejua uko kiloba cha ngapi isingenipa tabu. Am sorry to say that
 
Ukitaka fungua thread mpya then uliza kwa wadau, hata macho hayakuonyeshi kwamba nimewekewa sticky nyingi though zingine niliomba zifutwe kutokana na kuibuka wachangiaji kama wewe.

Lakini ningejua uko kiloba cha ngapi isingenipa tabu. Am sorry to say that

wewe utakuwa umesoma udsm ndio maana thread yako kuwa sticky unaona sifa
 
wewe utakuwa umesoma udsm ndio maana thread yako kuwa sticky unaona sifa

Pia hongera wewe uliyesoma Data Star Collage afu nimesikia ulidisco pale du! We mkali hata Data star?
 
Tunawatakia masomo memaa na muwe wanasheria bora tanzania na mtendee watu haki
 
Back
Top Bottom