GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Your browser is not able to display this video.
Soma Pia:
Wengine IQ's zetu hazitaki sana kupotezewa katika Kumuelewa Mtu zina allergy na Mtu asiyeeleweka eleweka Oky?
"Najua vilabu vyetu vikubwa vya Tanzania Simba, Yanga sasa mimi mama yao nipo katikati akisemwa vizuri Simba mimi napiga makofi akisemwa vizuri Yanga mimi nafurahi, na kulipokuwa na Simba day ambayo Majaliwa hakuwepo na Yanga day nikapiga kuwapongeza, ilipokuwa Yanga day Makamu wa Rais alikuwepo nikasema huyu jamaa Yanga huyu sasa nikasema Simba Day Majaliwa hakuwepo, na Yanga Day Makamu wa Rais yupo basi mi ntakuwa katikati" - Rais @SuluhuSamia akizungumza katika uwekaji wa Jiwe la Msingi Suluhu Sports Academy Mkunguni- Kizimkazi Zanzibar
Chanzo: East Africa TV
Wengine IQ's zetu hazitaki sana kupotezewa katika Kumuelewa Mtu
" Za zina allergy "za zina allergy na Mtu asiyeeleweka eleweka Oky?
Hauwezi kuwa na Damu ya Kizanaki ( Mara Tanzania ), Kiyao ( Mtwara, Tanzania ) na Rwanda ( Tutsi ) usiwe Mwerevu.Uzuri popoma ukipata kifungua kinywa unakuwa"ga" GT
BTW Hata mimi nimetoka kapa labda kijana wake digba sowey atufafanulie!πππ
Hii fact 100%Hauwezi kuwa na Damu ya Kizanaki ( Mara Tanzania ), Kiyao ( Mtwara, Tanzania ) na Rwanda ( Tutsi ) usiwe Mwerevu.
Na 99.9% ya WANAONICHUKIA ( HATERS ) hapa JamiiForums ni kwakuwa nina IQ Kubwa kuwazidi na Nyota Kali sana tu.Hii fact 100%
Kwani akisema tu kuwa Yeye ni mwana Simba SC, ila Mumewe Hafidh Ameir ni mwana Yanga SC atapungukiwa nini?Huwezi kuwa shabiki wa Simba alafu uwe Yanga.
Ili mwakani apate Kura zote za Mashabiki wa Simba na Yanga katika Uchaguzi Mkuu kisha baada ya hapo atawatosa.Anajikoshaa
"Najua vilabu vyetu vikubwa vya Tanzania Simba, Yanga sasa mimi mama yao nipo katikati akisemwa vizuri Simba mimi napiga makofi akisemwa vizuri Yanga mimi nafurahi, na kulipokuwa na Simba day ambayo Majaliwa hakuwepo na Yanga day nikapiga kuwapongeza, ilipokuwa Yanga day Makamu wa Rais alikuwepo nikasema huyu jamaa Yanga huyu sasa nikasema Simba Day Majaliwa hakuwepo, na Yanga Day Makamu wa Rais yupo basi mi ntakuwa katikati" - Rais @SuluhuSamia akizungumza katika uwekaji wa Jiwe la Msingi Suluhu Sports Academy Mkunguni- Kizimkazi Zanzibar
Chanzo: East Africa TV
Wengine IQ's zetu hazitaki sana kupotezewa katika Kumuelewa Mtu zina allergy na Mtu asiyeeleweka eleweka Oky?
Tunamjua vizuri akazane na tamasha lakeIli mwakani apate Kura zote za Mashabiki wa Simba na Yanga katika Uchaguzi Mkuu kisha baada ya hapo atawatosa.
Hahaaaaaa Charismatic fella katika moja na mbili. ππππUngekuwa na Akili sawa sawa Kichwani ungejua tu kuwa ni typing error ya kawaida na siyo issue. Najua unataka Nikubandue ila sikutaki.