Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Labda uvivu tu wa kutowafatilia vijana.
Ukiacha kazi ukaisimamia mwenyewe biashara bado utawahitaji vijana tu wa kukusaidia eidha usipokuwepo au wa kukusaidia ukilemewa.
Cha kufanya mi nakushauri usiache kazi, bado unaweza kupiga hatua ukiwa hukohuko kazini. Ni vile unalea vijana wanaokupa hasara. Labda una huruma sana mkuu, hesabu ni njia nzuri ya kumkamata mwizi kwenye biashara.
Inawezekana wewe ni moja ya wafanyabiashara "wakabia macho" yaani yeye akifika dukani anaangalia shelf kama lina vitu basi roho kwatu anajua biashara iko safi.
Hufanyi stock, unaenda kuwapokea vijana ukitoka job bila makabidhiano ya hesabu yoyote zaidi ya fedha tu.
Hapo hata kama vijana sio wezi ila unawatamanisha waibe, na wataiba kweli.
Ukiacha kazi ukaisimamia mwenyewe biashara bado utawahitaji vijana tu wa kukusaidia eidha usipokuwepo au wa kukusaidia ukilemewa.
Cha kufanya mi nakushauri usiache kazi, bado unaweza kupiga hatua ukiwa hukohuko kazini. Ni vile unalea vijana wanaokupa hasara. Labda una huruma sana mkuu, hesabu ni njia nzuri ya kumkamata mwizi kwenye biashara.
Inawezekana wewe ni moja ya wafanyabiashara "wakabia macho" yaani yeye akifika dukani anaangalia shelf kama lina vitu basi roho kwatu anajua biashara iko safi.
Hufanyi stock, unaenda kuwapokea vijana ukitoka job bila makabidhiano ya hesabu yoyote zaidi ya fedha tu.
Hapo hata kama vijana sio wezi ila unawatamanisha waibe, na wataiba kweli.